Noordin Haji aitaka Mahakama kutupilia mbali kesi ya Waluke.

Mkurugenzi wa mashtaka ya umma Noordin Haji ameiomba mahakama ya rufaa kukataa ombi la mbunge wa sirisia John Waluke la kuachiliwa kwa dhamana. Mbunge huyo alikata rufaa baada ya kuhukumiwa kifungu cha miaka 67 gerezani kwa kosa la kuipunja bodi ya uhifadhi…

Wabunge kurejesha CDF kwa kuifanyia katiba marekebisho.

Wabunge katika Bunge la kitaifa wamejadili hoja ya kufanyia mabadiliko ya kikatiba ili kuwawezesha kurejesha mpango wa maendeleo ya maeneobunge almaarufu CDF. Katika vikao vya bunge la kitaifa adhuhuri ya leo, wabunge wamesifia mpango wa fedha hizo wakitaka zirejeshwe ili waweze kuwasaidia…

Kenya yatuma wanajeshi wake kurejesha amani Congo.

Kikosi hicho kinajumuisha wanajeshi kutoka Uganda, Sudan Kusini, Kenya na hata taifa la Rwanda.

Polisi katika eneo la Sogoo wamtafuta mwanamume anayedaiwa kumua mkewe.

Polisi katika eneo la Sogoo Narok Kusini wanamtafuta mwanamume mmoja anayedaiwa kumua mkewe na kisha kuteketeza nyumba yao kabla ya kutoroka. Kwa mujibu wa polisi ni kwamba mshukiwa Zachary Silatei alitekeleza maovu hayo usiku wa manane huku wakifichua kuwa maafisa wa DCI…

Maeneo ya Nairobi, Pwani na Mlima Kenya yashuhudia hitilafu ya umeme.

Maeneo ya Nairobi, Pwani na Mlima Kenya yalishuhudia hitilafu ya umeme mapema hii leo hali iliyotatiza shuguli zinazotegemea umeme katika maeneo mengi nchini. Kupitia taarifa, kampuni ya Kenya power ilisema kuwa hitilafu hiyo ilisababishwa na kutatizika kwa mitambo inayosambaza umeme. pic.twitter.com/JBFXEQnWvl —…

Rais Wiliam Ruto atangaza orodha ya makatibu wakuu 51

BY ISAYA BURUGU,02,NOV 2022-Takribani yapata zaidi ya juma moja hivi baada ya mawaziri wapya chini ya utawala wa serikali ya Kenya Kwanza kuanza majukumu yao, Rais William Ruto ametangaza orodha ya makatibu wakuu 51.Majina hayo ni wale  waliochaguliwa kuhudumu katika nyadhifa tofauti…

Serikali ya kaunti ya Narok yasema kiangazi kinachoshuhudiwa hakijadhiri bei ya mifugo

BY ISAYA BURUGU,02,NOV,2022-Waziri wa kilimo kaunti ya Narok Joyce Keshe amesema bei ya mifugo imesalia ya kawaiada katika kaunti ya Narok licha ya kiangazi kikali kinachoshuhudiwa katika kaunti hii saw anna kaunti zingiine ncihini. Keshe amesema kwa sasa Ng,ombe anauzwa kwa zaidi…

Mwanamme ashtakiwa kwa kuwashambulia polisi Mombasa

BY ISAYA BURUGU.,02,NOV,2022-Mwanamme mmoja jijini Mombasa ameshtakiwa kwa kosa la kuwashambulia polisi wawili.Taarifa  zasema kuwa , polisi hao wawili walikuwa wanafanya doria katika sehemu ya Kibokoni wakati walikutana na mwanaume huyo na kutaka kumsaili wakati walipatana na harufu kali ya dawa ya…