Ahadi ya Jumwa: Nimejitolea kupigania mazingira bora ya utenda kazi kwa watumishi wa umma

BY ISAYA BURUGU,02,NOV,2022- Waziri wa utumishi wa umma Bi Aisha Jumwa anasema kuwa amejitolea kuhakikisha kuwa watumishi wa umma wanaboreshewa mazingira ya utenda kazi ili wajihisi weynye motisha. Akizungumza lipozuru kituo cha huduma center jijini Mombasa,Waziri amesema kuwa kwa muda murefu watumishi…

Mtumba

Serikali kufunga biashara ya “Mtumba” ili kuinua viwanda vya humu nchini.

Waziri wa biashara uwekezaji na viwanda Moses Kuria amesema kuwa serikali inapania kuiondoa biashara ya Nguo Kuu kuu almaarufu “Mtumba” humu nchini, akisema kuwa hili litasaidia viwanda vya kutengeneza nguo nchini kujiinua na kuwaajiri wakenya wengi Zaidi. Katika kikao na waandishi wa…

Gavana Kawira Mwangaza

Mawaziri 7 kati ya 10 wa Gavana Kawira Mwangaza wakosa kuidhinishwa.

Vita vya ubabe kati ya wawakilishi wadi wa kunti ya Meru na gavana wa kaunti hiyo Bi. Kawira Mwangaza vimeonekana kuchukua mkondo tpfauti, baada ya wawakilishi wadi hao kukataa kuwaidhinisha mawaziri 7 kati ya 10 waliopendekezwa na gavana huyo. Katika orodha ya…

Atwoli aunga mkono pendekezo la kuongeza malipo ya NSSF.

Katibu mkuu wa muungano wa vyama vya wafanyakazi Francis Atwoli ameunga mkono pendekezo la rais William Ruto la kuongeza malipo ya NSSF kutoka Ksh.200 ya sasa hadi 6%. Hii ina maana kwamba wafanyakazi watakuwa wanakatwa 6% ya mishahara yao ya kila mwezi.…

Justin Muturi aapishwa kama kamishna wa tume ya huduma kwa mahakama JSC.

Mwanasheria mkuu Justin Muturi ameapishwa kama kamishna wa tume ya huduma kwa mahakama JSC. Hafla hiyo iliongozwa na jaji mkuu Martha Koome katika jengo la mahakama ya juu. Akizungumza baada ya kuapishwa, Muturi ameahidi kuiunga mkono tume hiyo sawa na kufanya kazi…

Spika wa Bunge Moses Wetangula apigia upatu hoja ya mawaziri kuhojiwa bungeni

  BY ISAYA BURUGU,1ST NOV,2022-Spika wa bunge la kitaifa Moses Wetangula ameunga mkono mapendekezo ya rais William Ruto ya kuwahoji mawaziri wa wizara mbalimbali bungeni. Akizungumza wakati wa mahojiano ya kipekee katika radio mojawapo humu nchini, Wetangula amesema kuwa wako katika harakati…

Jamaa za watu walipotea eneo la pwani sasa zinaitaka serikali kuingilia kati

BY ISAYA BURUGU ,1ST NOV,2022-Jamaa za watu walipotea eneo la pwani sasa zinaitaka serikali kuingilia kati na kuwatafuta jamaa hao na kuwarudishia wakiwa hai au iwapo walifariki wapate kufahamishwa. Wakizunguza na wandishi Habari jijini Mombasa jamaa hao wamelezea jinsi jamaa wao walipotoweka…

Shirika la Caravan of hope latoa msaada wa chakula Narosura- Majimoto,Narok kusini.

BY ISAYA BURUGU,1ST NOV,2022-Kama mojawapo ya njia za kupunguza makali ya ukame Caravan of hope linaloshirikisha wahisani wa kujitolea kwa hali na mali liligawa chakula cha thamani ya shilingi elfu mia tatu kwa familia 300 katikakijiji cha Lepolosi wadi ya Narosura- Majimoto,Narok…