Naibu Rais Rigathi Gachagua amezindua mpango kabambe wa ujasirimali kwa ushirikiano na sekta ya kibinafsi unaolenga kubuni angalau nafasi za kazi milioni moja katika mwaka ujao. Mpango huo kwa jina la Kenya Youth Employment and Entrepreneurship Accelerator Programme (K-YEEAP), umezinduliwa jijini Nairobi.…
Mwanafunzi wa kiume wa chuo kikuu cha Maasai Mara Narok ameaga dunia baada ya kuzama ndani ya mto Narok alipokuwa akiogelea pamoja na wenzake jana jioni. Kulingana na taarifa za polisi Mwanafunzi huyo kutoka kaunti ya Nyamira alikuwa katika mwaka wake wa…
Rais William Ruto ametoa changamoto kwa mamlaka ya ukusanyaji wa ushuru nchini, akiitaka kuimarisha juhudi zake za kukusanya ushuru kwa kuwahusiaha wakenya na kuweka mazingira ya kupendeza kwa wakenya ili kuwahusisha kwa urahisi. Akizungumza katika hafla ya kusherehekea siku ya walipa ushuru…
Huku zoezi la kusambaza chakula cha msaada likiendelea katika maeneo mbalimbali kaunti ya Narok, onyo imetolewa kwa watu wanaouza chakula hicho kwa wakaazi wa maeneo yanayokabiliwa na baa la njaa. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa shehena ya chakula cha msaada, gavana wa…
Jopokazi la wanachama 42 lililoteuliwa na Rais William Ruto kutathmini mfumo wa Elimu nchini na kutoa mapendekezo litaanza kuendesha vikao vya ushiriki wa umma mnamo Jumanne, Novemba 1. Kulingana na Mwenyekiti wa jopo hilo Prof. Raphael Munavu, zoezi hilo litaendeshwa katika kaunti…
Mawaziri 22 pamoja na Mkuu wa Sheria wametwaa nyadhifa zao rasmi baada ya kula kiapo cha utumishi katika hafla ya kuapishwa iliyoandaliwa katika ikulu ya Nairobi Leo Alhamisi 27.10.2022. Hafla hiyo iliyoongozwa na Rais William Ruto mwendo wa Saa tano, ilishuhudia maafisa…
https://www.youtube.com/watch?v=JW-nHAUVRaw
Wabunge katika bunge la kitaifa sasa wanaitaka tume ya huduma za walimu nchini TSC kusitisha zoezi la kuwahamishwa walimu kwa lazima wakisema kuwa waalimu wana haki ya kufanya kazi mahali popote katika taifa hili hata katika maeneo wanayoyotoka. Wabunge hao walikua wakiijadili…