Naibu Rais Rigathi Gachagua azindua mpango kabambe wa kubuni nafasi za ajira.

Naibu Rais Rigathi Gachagua amezindua mpango kabambe wa ujasirimali kwa ushirikiano na sekta ya kibinafsi unaolenga kubuni angalau nafasi za kazi milioni moja katika mwaka ujao. Mpango huo kwa jina la Kenya Youth Employment and Entrepreneurship Accelerator Programme (K-YEEAP), umezinduliwa jijini Nairobi.…

Mwanafunzi wa chuo kikuu cha Maasai Mara aaga dunia baada ya kuzama ndani ya mto Narok.

Mwanafunzi wa kiume wa chuo kikuu cha Maasai Mara  Narok ameaga dunia baada ya kuzama ndani ya mto Narok alipokuwa akiogelea pamoja na wenzake jana jioni. Kulingana na taarifa za polisi Mwanafunzi huyo kutoka kaunti ya Nyamira alikuwa katika mwaka wake wa…

William Ruto KRA

KRA yawekewa lengo la Shilingi Trilioni 3 katika mwaka ujao wa Kifedha.

Rais William Ruto ametoa changamoto kwa mamlaka ya ukusanyaji wa ushuru nchini, akiitaka kuimarisha juhudi zake za kukusanya ushuru kwa kuwahusiaha wakenya na kuweka mazingira ya kupendeza kwa wakenya ili kuwahusisha kwa urahisi. Akizungumza katika hafla ya kusherehekea siku ya walipa ushuru…

Gavana wa Narok Patrick Ntutu azindua shehena ya chakula cha msaada.

Huku zoezi la kusambaza chakula cha msaada likiendelea katika maeneo mbalimbali kaunti ya Narok, onyo imetolewa kwa watu wanaouza chakula hicho kwa wakaazi wa maeneo yanayokabiliwa na baa la njaa. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa shehena ya chakula cha msaada, gavana wa…

vikao vya ushiriki wa umma kuhusu mtaala wa CBC Kuanza mwezi ujao.

Jopokazi la wanachama 42 lililoteuliwa na Rais William Ruto kutathmini mfumo wa Elimu nchini na kutoa mapendekezo litaanza kuendesha vikao vya ushiriki wa umma mnamo Jumanne, Novemba 1. Kulingana na Mwenyekiti wa jopo hilo Prof. Raphael Munavu, zoezi hilo litaendeshwa katika kaunti…

Cabinet Secretaries

Serikali ya Rais Ruto yaanza kazi baada ya kuapishwa kwa mawaziri.

Mawaziri 22 pamoja na Mkuu wa Sheria wametwaa nyadhifa zao rasmi baada ya kula kiapo cha utumishi katika hafla ya kuapishwa iliyoandaliwa katika ikulu ya Nairobi Leo Alhamisi 27.10.2022. Hafla hiyo iliyoongozwa na Rais William Ruto mwendo wa Saa tano, ilishuhudia maafisa…

SWEARING IN

LIVE: KUAPISHWA KWA BARAZA LA MAWAZIRI

https://www.youtube.com/watch?v=JW-nHAUVRaw

TSC

Wabunge waimulika TSC kuhusu suala la uhamisho wa walimu.

Wabunge katika bunge la kitaifa sasa wanaitaka tume ya huduma za walimu nchini TSC kusitisha zoezi la kuwahamishwa walimu kwa lazima wakisema kuwa waalimu wana haki ya kufanya kazi mahali popote katika taifa hili hata katika maeneo wanayoyotoka. Wabunge hao walikua wakiijadili…