IPOA yaanzisha uchunguzi kufuatia mauaji ya mwanahabari wa pakistan.

Mamlaka huru ya utendakazi wa polisi IPOA imesema kuwa itawachukulia hatua za kisheria maafisa waliohusika na mauaji ya watu mbalimbali humu nchini. Kwenye kikao na waandishi wa habari, mwenyekiti wa mamlaka hiyo Ann Makori amedokeza kuwa IPOA inaunga mkono hatua ya rais…

Maasai Mara

Kamati maalum kutatua mizozo ya wanyamapori na binadamu eneo la Maasai Mara.

Gavana wa kaunti ya Narok Patrick Ntutu ameahidi kubuni kamati maalum ya watu 30 itakayokuwa na jukumu la kusuluisha mizozo kati ya wanyama pori na binadamu katika mbuga ya kitaifa ya Maasai Mara. Ntutu ambaye alikua akizungumza katika eneo la sekenani siku…

Hustler Fund kuzinduliwa rasmi mwezi Disemba.

Rais William Ruto amefichua kuwa atazindua mradi wa mikopo na akiba wa Hustler Fund tarehe 1 Desemba 2022.Katika hotuba yake kwa taifa wakati wa maadhimisho ya sherehe za 59 za mashujaa, rais aliweka bayana kuwa maswali mengi yameulizwa kuhusu ahadi ya Hustler…

Gavana Ntutu aahidi kukarabati barabara zaidi katika maeneobunge ya Narok ili kurahisisha usafiri.

Gavana wa kaunti ya Narok Patrick Ole Ntutu amesema kuwa serikali yake inapania kukarabati barabara Zaidi katika maeneobunge ya Narok ili kurahisisha usafiri.Akizungumza wakti wa hafla ya maadhimisho ya mashujaa katika shule ya msingi ya DEB eneo la Kilgoris, Ntutu amesema kuwa…

Kenya Redcross

Ugonjwa wa Anthrax wapigwa teke eneo la Naikarra Narok Magharibi kwa juhudi za wahudumu wa afya wa kujitolea.

Wakaazi hawa hawakuwa na ufahamu wa athari za tabia ya ulaji wa nyama ya mifugo waliokufa, na hivyo waliendelea na shughuli hii kwa muda hadi shirika la msalaba mwekundu lillipoamua kuingia kati na kujaribu kutatua tatizo hili.

Idara ya DCI yapata mkurugenzi mpya baada ya Amin kuapishwa rasmi.

Jaji mkuu Martha Koome amemapisha rasmi Amin Ibrahim Mohammed kama mkrugenzi mpya wa idara ya jinai katika jengo la mahakama ya juu jijini Nairobi asubuhi ya leo.Ibrahim anachukua nafasi ya George Kinoti aliyejiuzulu mwezi jana. C J Martha Koome presided over the…

mshukiwa anaswa

Mshukiwa sugu wa ukataji Miti anaswa Loita, Narok Kusini.

Mwanaume mmoja wa umri wa makamo ametiwa mbaroni katika msitu wa Loita eneobunge la Narok kusini akihusishwa na hulka ya ukataji wa miti na uharibifu wa misitu. Akidhibitisha haya, naibu kamishana wa kaunti ndogo ya Narok kusini Bw. Felix Kisalu amesema mwanaume…

President Ruto

Serikali itajenga nyumba 200,000 za bei rahisi kila mwaka – Rais William Ruto

Rais William Ruto amezindua mpango wa nyumba ya bei nafuu katika eneo la ongata rongai kaunti ya Kajiado adhuhuri ya leo, mpango unaopania kuwafaidi Zaidi ya wananchi 734 katika kaunti hiyo. Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Ruto amesema kuwa serikali yake inapania…