Gavana Ntutu aongoza hafla ya kuapishwa kwa kaimu katibu wa kaunti ya Narok Bw. John Tuya.

Gavana wa kaunti hii ya Narok Patrick Ntutu asubuhi ya leo ameongoza hafla ya kuapishwa kwa kaimu katibu wa kaunti Bw. John Tuya katika jengo la bunge la kaunti ya Narok.Kupitia mtandao wake wa twitter,gavana Ntutu amesema kuwa Bw. Tuya atasimamia masuala…

Mamlaka ya Mawasiliano ya Kenya yatoa makataa ya siku 60 kwa kampuni za mwasiliano kuendelea kusajili laini za simu.

Kampuni za mawasiliano kama vile Safaricom na Airtel  zimeagizwa kufunga laini za simu ambazo hazitasajiliwa katika siku 60 zijazo katika hatua ya kutekeleza uzingatiaji wa zoezi la usajili lililofungwa Jumamosi. Katika taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa Jumatatu, Mamlaka ya Mawasiliano ya…

Mahakama yaahirisha kesi ya ufisadi ya shilingi bilioni 7.4 dhidi ya Naibu Rais Rigathi Gachagua na washukiwa wengine.

Mahakama imeahirisha kwa muda wa wiki tatu kesi ya ufisadi ya shilingi bilioni 7.4 dhidi ya Naibu Rais Rigathi Gachagua na wengine kufuatia ombi la kuangazia suala hilo.Hatua hii inajiri baada ya mahakama kuelezwa kuwa Gachagua alimwandikia barua mkurugenzi wa mashtaka ya…

Zoezi la kuwapiga msasa mawaziri walioteuliwa lang’oa nanga hivi leo.

Zoezi la kuwapiga msasa mawaziri ishirini na wawili walioteuliwa na rais William Ruto limeng’oa nanga hivi leo katika majengo ya bunge.Musalia Mudavadi ambaye ameteuliwa kama mkuu wa mawaziri alikuwa wa kwanza kupigwa msasa ambapo ameelezea baadhi ya mabadiliko aliyoleta kwenye wizara ya…

Moto sokoni Gikomba

Mkasa mwingine wa Moto kwenye soko la Gikomba wateketeza mali ya mamilioni.

Wachuuzi katika soko la Gikomba walikumbwa kwa mara nyingine na mkasa wa moto Jumamosi 15.10.2022, baada ya moto mkubwa kuteketeza sehemu ya soko hilo. Hata ingawa idara ya kukabiliana na mikasa katika jiji la Nairobi ilifanikiwa kuudhibiti moto huo, wachuuzi wa Gashosho…

Naibu rais Rigathi Gachagua ashikilia kuwa serikali ya sasa haitazitumia asasi za usalama kuwakandamiza wapinzani wao.

Naibu rais Rigathi Gachagua kwa mara nyingine amesema kuwa serikali ya rais William Ruto haitazitumia asasi za usalama kuwakandamiza wapinzani wao. Akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa bwawa la Thiba katika kaunti ya Kirinyaga,Gachagua amesema kuwa hawana mpango wa kuwatumia machifu…

Rais William Ruto amteua Amin Ibrahim Mohammed kama mkurugenzi mpya wa idara ya DCI.

Rais William Ruto amemteua Amin Ibrahim Mohammed kama mkurugenzi mpya wa idara ya DCI majuma matatu baada ya George Kinoti kujiuzulu kutoka kwa wadhfa huo.Mohammed alikuwa miongoni mwa watu watatu waliochaguliwa baada ya tume ya huduma kwa polisi NPS kuwahojiwa watu kumi…

Seneta Mandago atakiwa kukoma kutoa matamshi ya kuwagawanya wakazi wa Uasin Gishu

BY Isaya Burugu,Oct 15,2022-Viongozi wakidini katika kaunti ya Uasin Gishu  wanamtaka seneta wakaunti hiyo Jackson Mandago kujiepusha na kutoa matamshi yanaweza leta migawinyiko kati ya wanaoishi katika kaunti hiyo. Viongozi hao badala yake wanamtaka Mandago kufanya kazi aliyopewa.Wakiongozwa na askofu Paul Gathuo,…