BY Isaya Burugu,Oct 15,2022-Rais Wiliam Ruto na naibu wake Rigathi Gachagua hivi leo waanaongoza hafla ya ufunguzi wa bwawa la Thiba kaunti ya Kirinyaga katika hatua inayotarajiwa kuwafaa pakubwa wakulima wa mpunga kutoka eneo hilo. Kwa mjibu wa Daniel Nzwenzwe ambaye ni…
By Isaya Burugu ,Oct 15,2022-Rais William Ruto amemteua Amin Mohamed Ibrahim kama mkurugenzi mkuu wa idara ya upelelezi wa jinai nchini DCI.Uteuzi huo umechapishwa kwenye notisi katika gazeti rasmi la serikali ya hiyo jana. Kabla ya uteuzi huo Ibrahim alikuwa akiongoza kitengo…
Takriban watumizi milioni 11 wa kadi za simu nchini wako katika hatari ywa kufungiwa laini zao, baada ya kukamilika kwa muda uliotolewa kwa watumizi wa kadi hizi kuzisajili upya siku ya Jumamosi 15.10.2022. Mamlaka ya mawasiliano nchini (CAK) iliagiza wahudumu wa mitandao…
Rais William Ruto amefanya uteuzi wa maafisa 10 wapya katika Afisi Kuu ya Rais Ijumaa 14.10.2022. Katika orodha ya uteuzi huo, Rais amemteua aliyekuwa mwanahabari wa Runinga ya Citizen Hussein Mohammed kama msemaji wa Ikulu huku mwanauchumi David Ndii akiteuliwa kuwa Mwenyekiti…
Jumla ya familia 2,500 katika kaunti hii ya Narok zina sababu ya kutabasamu baada ya shirika la msalaba mwekundu kusambaza chakula cha msaada kwa familia hizo. Kaunti ya Narok ni miongoni mwa kaunti 29 ambazo zimeathirika kutokana na ukame.Katibu mkuu wa shirika…
Mkurugenzi wa mashtaka ya umma Noordin Haji amebadili msimamo wake na kuondoa ombi la kutaka kusitishwa kwa kesi ya ufisadi dhidi ya aliyekuwa gavana wa Samburu Moses Lenolkulal katika mahakama ya Milimani. Lenolkulal alikabiliwa na kesi ya ufujaji wa kima cha shilingi…
BY ISAYA BURUGU ,OCT 14,2022-Rais Wiliamu Ruto hivi leo ameongoza hafla ya kuwakumbuka wanajeshi waliopoteza Maisha yao wakati wakilinda taifa hili katika nyakati tofauti. Hafla hiyo imeandaliwa katika kambi ya kijeshi ya Laikipia Airbase. Katika hafla hiyo rais amezindua sanamu iliyo na…
By Isaya Burugu ,Oct 14,2022-Mlinzi Mama Ida Odinga ameuuwa kwa kupigwa risasi.Afisa huyo wa polisi alipigwa risasi jana usiku katika mtaa wa Uzima huko Kisumu. Jina la marehemu lilibanua hadi familia yake ifahamishwe kwanza kuhusu kifo chake.Mshukiwa ambaye anasemekana kuwa meneja wa…