Aliyekuwa mbunge wa Narok Kaskazini Moitalel Ole Kenta amefurahia uamuzi uliotolewa na mahakama kuu ya Narok, ukiidhinisha hatua ya kurufushwa kwa wananchi kutoka katika msitu wa Mau. Akizungumza na waandishi wa habari muda mfupi baada ya uamuzi huo wa Alhamisi 13.10.2022, Kenta…
Waziri wa hazina ya kitaifa Ukur Yatani amejitokeza na kuweka wazi kuwa taifa la Kenya halijawahi kukataa au kuchelea katika ulipaji wa mkopo wowote uliokopwa kutoka kwa wakopeshaji wa nje na mataifa ya kigeni. Yattani ametoa kauli hizi baada ya chapisho la…
Chama cha mawakili LSK sasa kimemtaka mkurugenzi wa mashataka ya umma Noordin Haji kutoa sababu za kutupilia mbali kesi za ufisadi zilizokuwa zikiwakabili viongozi wa kisiasa ambao wameteuliwa kwa nyadhifa za mawaziri. Haya yanajiri siku moja baada ya afisi ya mkurugenzi wa…
Mahakama kuu ya Narok imetoa uamuzi kuwa hakuna mtu atakayerejea katika msitu wa mau .katika uamuzi ulitolewa na majaji watatu wa mahakama ya Narok akiwemo jaji Muhammad Kulow ,Jaji John Mutungi na jaji George Ong,ondo wamesema kwa kauli moja kesi iliyofikishwa mahakamani…
BY ISAYA BURUGU ,OCT 13,2022-Mahakama kuu imetupilia mbali, kesi ya kuharibia jina iliyokuwa iiliyowasilishwa mahakamani na kampnuni ya maziwa ya Brookside Dairy limited dhidi ya mbunge wa Nyali Mohamed Ali. Jaji Hedwig Ongudi amesema kuwa kesi hiyo iliyokuwa imewasilishwa mbele ya kitengo…
By Isaya Burugu,Oct 13,2022-Kenya imeungana na uliwmwengu leo kuadhimisha siku ya kuona .Ni siku inayoadhimishwa wiki ya pili ya mwezi Oktoba. Kama sehemu ya maadhimisho hayo,Madakitari wa macho wamefika katika stendi ya magari mjini Kisiii kuweza kuwahamazisha madereva na wahudumu wa magari…
Naibu wa Rais Rigathi Gachagua ameahidi kuwa wakenya hawatakua na haja ya kuhofu kuhusu kufurushwa makwao kiholela au kubomolewa makaazi yao nyakati za usiku. Akizungumza katika hafla ya ufunguzi wa shule ya Komarok jijini Nairobi alikoandamana na Rais William Ruto, Gachagua amesema…
Tume ya Utumishi wa Umma (PSC) imetoa mwaliko kwa wananchi wenye nia ya kuwania nafasi ya makatibu waratibu katika wizara mbalimbali (CAS) kutuma maombi yao ya nafasi hizi kabla ya Oktoba 27. Katika taarifa iliyochapishwa Jumatano 12.10.2022 na mwenyekiti wa PSC Anthony…