By Isaya Burugu,Oct 11,2022-Tume ya kitaifa ya huduma kwa polisi hivi leo inawahoji waliotuma maombi kujaza nafasi ya mkurugenzi mkuu wa idara ya upelelezi wa jinai DCI. Hatua hiyo inafuatia kujiuzulu kwa aliyekuwa mkurugenzi George Kinoti.Watu kumi wametuma maombi ya kujaza nafasi…
Na huku Wakenya wakiendelea kukabiliwa na hali ngumu ya kiuchumi na ukame ambao umetawala kwa muda sasa kutokana na ukosefu wa mvua, maaskofu wa kanisa katoliki wametoa wito kwa wakenya kushirikiana na kuonyesha ubinadamu kati yao kwa kutoa chakula na msaada wa…
Mfanyibiashara Jimmy Wanjigi amewaomba wanasiasa walioshindwa katika uchaguzi mkuu wa Agosti 9, kutotumia nyadhifa za utumishi wa umma kurejea uongozini na badala yake kuwaruhusu wakenya wengine waliohitimu kutwaa nyadhifa hizo. Wanjigi ambaye alizungumza katika Kaunti ya Migori siku ya Jumapili 10.Oktoba 2022,…
Huku Kenya ikiadhimisha siku ya utamaduni, baadhi ya wananchi wamechanganyikiwa kuhusu kinachosherehekewa hivi leo.Kuna wale ambao wanasema kuwa leo ni siku ya Huduma ila kuna wale ambao wanadai kuwa leo ni siku ya utamaduni. Wakizungumza na waandishi wa habari,wananchi hao wamesema kuwa…
Kenya imeungana na ulimwengu hivi leo kuadhimisha siku ya afya ya akili huku visa vya watu walio na matatizo ya akili vikiripotiwa kuongezeka.Humu nchini inakisiwa kati ya watu 6 watano wana tatizo la kiakili. Sababu mbali mbali zinaripotiwa kusababisha matatizo ya kiakili…
By Isaya Burugu,Oct 10,2022- Rais William Ruto hivi leo amekutana na kufanya mazungumzo kana rais wa Tanzania Samia Suluhu katika ikulu ya Dare salaam. Kwenye mkutano huo uliyohudhuriwa pia na mawaziri mbali mbali kutoka mataifa haya mawili,Rais Ruto na Samia wamekubaliana kuhusu…
By Isaya Burugu,Oct 10,2022-Rais William Ruto hivi leo jumatatu anatarajiwa kuandaa mazungumzo na mwenzake wa Tanzania Samia Suluhu.Rais Ruto amewasili nchini Tanzania jana kwa ziara ya siku mbili baada ya kuhudhuria sherehe ya maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru wa taifa la…
Rais William Ruto yuko katika taifa jirani la Uganda, ambapo anatarajiwa kuwa miongoni mwa viongozi watakaohudhuria hafla ya maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru katika taifa hilo. Kulingana na taarifa kwa vyombo vya habari, Rais Ruto aliondoka nchini adhuhuri ya leo na…