Tume ya kitaifa ya polisi kuwahoji waliotuma maombi kwa wadhifa wa mkurugenzi wa DCI

By  Isaya Burugu,Oct 11,2022-Tume ya kitaifa ya huduma kwa polisi hivi leo inawahoji waliotuma maombi kujaza nafasi ya mkurugenzi mkuu wa idara ya upelelezi wa jinai DCI. Hatua hiyo inafuatia kujiuzulu kwa aliyekuwa mkurugenzi George Kinoti.Watu kumi wametuma maombi ya kujaza nafasi…

Kanisa Katoliki lahimiza Wakenya Kuungana kuwasaidia Waathirwa wa Ukame.

Na huku Wakenya wakiendelea kukabiliwa na hali ngumu ya kiuchumi na ukame ambao umetawala kwa muda sasa kutokana na ukosefu wa mvua, maaskofu wa kanisa katoliki wametoa wito  kwa wakenya kushirikiana na kuonyesha ubinadamu kati yao kwa kutoa chakula na msaada wa…

Jimmy Wanjigi awaomba wanasiasa waliofeli katika uchaguzi kujitenga na nyadhifa za utmishi wa umma.

Mfanyibiashara Jimmy Wanjigi amewaomba wanasiasa walioshindwa katika uchaguzi mkuu wa Agosti 9, kutotumia nyadhifa za utumishi wa umma kurejea uongozini na badala yake kuwaruhusu wakenya wengine waliohitimu kutwaa nyadhifa hizo. Wanjigi ambaye alizungumza katika Kaunti ya Migori  siku ya Jumapili 10.Oktoba 2022,…

Huku Kenya ikiadhimisha siku ya utamaduni, baadhi ya wananchi wachanganyikiwa kuhusu kinachosherehekewa hivi leo.

Huku Kenya ikiadhimisha siku ya utamaduni, baadhi ya wananchi wamechanganyikiwa kuhusu kinachosherehekewa hivi leo.Kuna wale ambao wanasema kuwa leo ni siku ya Huduma ila kuna wale ambao wanadai kuwa leo ni siku ya utamaduni. Wakizungumza na waandishi wa habari,wananchi hao wamesema kuwa…

Visa vya matatizo ya kiakili vyaongezeka nchini huku ulimwengu ukiadhimisha siku ya afya ya kiakili.

Kenya imeungana na ulimwengu hivi leo kuadhimisha siku ya afya ya akili huku visa vya watu walio na matatizo ya akili vikiripotiwa kuongezeka.Humu nchini inakisiwa kati ya watu 6 watano wana tatizo la kiakili. Sababu mbali mbali zinaripotiwa kusababisha matatizo ya kiakili…

Rais Wiliam Ruto akutana na kufanya mazungumzo na rais Samia Suluhu Hasan wa Tanzania

By Isaya Burugu,Oct 10,2022- Rais  William Ruto hivi leo amekutana na kufanya mazungumzo kana rais wa Tanzania Samia Suluhu katika ikulu ya Dare salaam. Kwenye mkutano huo uliyohudhuriwa pia na mawaziri mbali mbali kutoka mataifa haya mawili,Rais  Ruto na Samia wamekubaliana kuhusu…

ZIARA YA RUTO TANZANIA: Rais Ruto Kuandaa mazungumzo na mwenzake wa Tanzania Samia Suluhu leo Jumatatu

By Isaya Burugu,Oct 10,2022-Rais  William Ruto hivi leo jumatatu anatarajiwa kuandaa mazungumzo na mwenzake wa Tanzania Samia Suluhu.Rais Ruto amewasili nchini Tanzania jana kwa ziara  ya siku mbili  baada ya kuhudhuria sherehe ya maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru wa taifa la…

Rais William Ruto yuko nchini Uganda kwa Maadhimisho ya Miaka 60 ya Uhuru.

Rais William Ruto yuko katika taifa jirani la Uganda, ambapo anatarajiwa kuwa miongoni mwa viongozi watakaohudhuria hafla ya maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru katika taifa hilo. Kulingana na taarifa kwa vyombo vya habari, Rais Ruto aliondoka nchini adhuhuri ya leo na…