Makala ya 12 ya mashindano ya WASCO yanayohusisha kampuni za usambazaji wa maji kutoka maeneo yote ya taifa yataandaliwa katika Kaunti ya Narok mwezi Aprili 2023. Haya ni kwa mujibu wa waziri wa maji na usafi wa mazingira katika kaunti ya Narok…
By Isaya Burugu,Oct 08,2022-Gavana wa Nairobi Johnson Sakaja ameagiza kubuniwa kwa kamati ya maswala ya uchukuzi itakayojumuisha wahusika mbali mbali wa sekta hiyo itakayosimamia mikakati ya kupanga mipango ya kukabili tatizo la msongamano wa magari katikati mwa jiji. Sakaja amehoji kuwa mashirika…
By Isaya Burugu,Oct 8,2022-Shirika la kulinda misitu nchini limetoa wito kwa wakulima kupanda miti mbali mbali kutokana na mabadiliko ya tabia nchi. Afisa msimamizi wa shirika hilo kaunti ya taita Taveta, Flavian Otieno anasema wanalenga kuwahamasisha wakulima kuhusu umuhimu wa upanzi wa…
By Isaya Burugu,Oct 8,2022-Aliyekuwa mbunge wa Ainabkoi William Chepkut ameaga dunia.Kwa mjibu wa familia yake iliyodhibitisha kifo hicho,Chepkut amefariki leo asubuhi. Mbunge huyo wa zamani anasemekana kuzirai akiwa nyumbani kwake na kupelekwa katika hospitali ya Mediheal iliyoko eneo la parklands ambapo madakitari wametangaza…
Waziri wa usalama wa Ndani Dkt. Fred Matiang’i ametangaza kuwa siku ya Jumatatu, Oktoba 10, 2022 kuwa likizo ya umma kuwaruhusu wananchi kuiadhimisha siku ya Utamaduni humu nchini. Waziri Matiang’i, katika taarifa yake kwa vyombo vya habari mapema leo, alisema siku hiyo…
Mahakama ya upeo nchini imetoa uamuzi kuhusu uwezo wa maseneta kuwapiga msasa magavana juu ya ukusanyaji wao wa ushuru katika kaunti na vilevile matumizi yao ya fedha wanazokusanya na wanazopokea kutoka katika serikali kuu. Maseneta sasa wana mamlaka ya kuwaita magavana wa…
Mbunge wa Sirisia John Waluke amejisalimisha kwa polisi baada ya mahakama kuu kuidhinisha kifungo chake cha miaka 67 gerezani kutokana na ulaghai wa shilingi milioni 297. Haya yanajiri saa 24 baada ya Jaji Esther Maina kutupilia mbali rufaa yake, na kuamua kuwa…
By Isaya Burugu,Oct 7,2022-Maafisa wa polisi wamekuwa wakifanya oparesheni kurejesha mbuzi walioibwa katika Kijiji cha Loikasi mjini Maralal kaunti ya Samburu. Hamsini kati ya mbuzi mia tatu na nane walioibwa mwezi jana wamepatikana. Kwa Hisani Wafugaji katika eneo hilo wanaitaka serikali…