BY Isaya Burugu,Oct 7,2022– Maafisa wa polisi katika kaunti ya Siaya wanachunguza kisa ambapo maiti ilipatikana imezikwa kwenye boma la afisa wa ardhi Philip Onyango Ogutu miezi minne baada ya familia kuripoti kutoweka kwake. Kwa mjibu wa naibu kamanda wa polisi katika…
Kamati ya usalama katika kaunti ya Narok inatarajiwa kuzuru msitu wa Mau siku ya Jumatano 12,Oktoba 2022, kwa ziara ya kiusalama katika msitu huo. Kamishena wa Kaunti ya Narok Bw. Isaac Masinde, amesema kuwa kamati hiyo itatumia ndege kupaa juu ya msitu…
Mbunge wa Kikuyu Kimani Ichungwah ndiye Kiongozi mpya wa Wengi katika Bunge la Kitaifa, baada ya spika wa bunge hilo Moses Wetangula kutoa uamuzi kuhusu mrengo ulio na wawakilishi wengi bungeni
Aliyekuwa gavana wa kiambu Ferdinand Waititu amepata afueni baada ya mahakama kutupilia mbali kesi ya ufisadi iliyokuwa ikimkabili kutokana na ukosefu wa ushahidi wa kutosha. Waititu alikuwa ameshtakiwa pamoja na wenzake 12 kwa kupanga njama ya kutoa zabuni ya barabara ya shilingi…
Gavana wa kaunti ya Narok Patrick Ole Ntutu ameahidi kufanya ujenzi wa kiwanda cha maziwa katika kaunti ya Narok kwa lengo la kuwawezesha wananchi wa Narok na hasa wafugaji kunufaika na maziwa ya mifugo wao. Ntutu akizungumza katika eneo la Sikinani Narok…
Wakili Paul Gicheru anazikwa hivi leo katika Kijiji cha weda Kabatini eneo bunge la Bahati kaunti ya Nakuru. Gicheru alikuwa anatuhumiwa na mahakama ya ICC kuwahonga mashahidi katika kesi iliyokuwa ikimkumba rais Wiliam Ruto na mwanahabari Joshua Sang .Paul Gicheru alifariki mwezi…
Mahakama kuu imetupilia mbali rufaa ya mbunge wa Sirisia John Waluke sasa hiyo ikiwa na maana kuwa mbunge huyo atahitajika kutumikia kifungo chake cha miaka 67. Kifungo hicho alikuwa amepewa na mahakama ya chini.Jaji Esther Maina wa mahakama kuu amesema kuwa…
Rais Wiliam Ruto ameondoka nchini leo kuelekea nchini Ethiopia ambapo amepangiwa kukutana na Waziri mkuu wa taifa hilo Abiy Ahmed Ali.Viongozi hao wawili watakuwa na mazungumzo ya Pamoja kuhusu kuboresha uchumui na mazingira ya kuendesha biashara kati ya nchi hizi mbili.Baadaye wataongoza…