Shukrani za Wajackoya

BY ISAYA BURUGU,17TH SEPT,2022-Mgombea urais wa Roots Party katika kinyang’anyiro cha Agosti 9  George Wajackoyah amemaliza kukarabati nyumba ya marehemu babake. Siku ya Ijumaa Wajackoyah alionyesha nyumba ya zamani ya marehemu Tito Jakoya Odhiambo na ile mpya iliyopanuliwa na kuboreshwa kwa vioo.…

Usalama kwa watoto

BY ISAYA BURUGU,17TH SEPT 2022-Huku shule zikitarajiwa kufungwa kwa likizo fupi kabla ya kufunguliwa kwa muhula wa tatu na wa mwisho mwaka huu,wazazi wametakiwa kuwapa ushauri nasaha Watoto wao. Mwenyekiti wa chama cha kutetea maslahi ya wazazi kaunti ya Tranzoia ,Welington Waliaula,amedokeza…

MIPANGO YA MAZISHI/MAITAI

BY ISAYA BURUGU,17TH SEPT,2022-Mazishi ya aliyekuwa mwanzilishi wa baraza la wazee la jamii ya wamasai Marehemu John Ole Maitai ambayo yalikuwa yafanyike hivi leo yameweza kuairishwa hadi Alahamisi ijayo. Haya ni kwa mjibu wa familia ya Mwenda zake ikiongozwa na Emanuel Ole…