Waziri wa Usalama wa Ndani Kithure Kindiki ameagiza kuchunguzwa, kukamatwa na kufunguliwa mashtaka kwa watu katika Kaunti ya Lamu wanaotumia mitandao ya kijamii kuchochea chuki za kikabila na kidini. Haya yanajiri kufuatia video iliyosambaa kwa baadhi ya viongozi wakidai kuunda baraza la…
Naibu Rais Rigathi Gachagua amesema kuwa asilimia 70 ya mapato ya serikali hutumika kulipa deni la umma lililorithiwa kutoka kwa utawala uliopita.Gachagua kwa mara nyingine ameilaumu serikali iliyopita kwa changamoto za kiuchumi zinazoshuhudiwa nchini. Akizungumza wakati wa Sherehe za Mahafali ya 92…
BY ISAYA BURUGU,7TH DEC,2023-KAMPUNI ya kusambaza umeme nchini (KPLC) imeonya kuhusu kukatizwa kwa umeme katika maeneo kadhaa nchini hivi leo Alhamisi. Katika taarifa, kampuni hiyo ilitangaza kuwa baadhi ya maeneo ya kaunti sita za Kenya yatakosa umeme kati ya saa tatu asubuhi…
BY ISAYA BURUGU 7TH DEC 2023-Ombi limewasilishwa mahakamani kupinga mashtaka ya jinai dhidi ya Mdhibiti wa Bajeti Margaret Nyakang’o.Ombi hilo lililowasilishwa na Mbunge wa Nyamira Stephen Mogaka limeorodhesha afisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (ODPP) na Idara ya Upelelezi wa Jinai…
BY ISAYA BURUGU,6TH DEC 2023-Wizara ya Mambo ya Ndani inasema shule zilizofungwa kutokana na mashambulizi ya majambazi huko Pokot Magharibi zinatazamiwa kufunguliwa tena. Akiwa katika ziara ya kukagua shule zilizotelekezwa katika eneo hilo kufuatia visa vya ukosefu wa usalama,waziri wa usalama wa…
BY ISAYA BURUGU, 6TH DEC 2023-Serikali imetangaza kuwa watu watano zaidi wameuawa na mafuriko ya El Nino yanayoendelea kote nchini katika muda wa saa 24 zilizopita, na kufanya idadi ya waliofariki kufikia 165.Msemaji wa serikali Dkt Isaac Mwaura, akihutubia wanahabari kutoka Kaunti…
Kinara wa upinzani Raila Odinga amedai kuwa makosa yaliyorekodiwa katika matokeo ya mtihani wa KCPE ya mwaka 2023 yaliyotolewa hivi majuzi yana mzozo mkubwa wa ununuzi katika Wizara ya Elimu. Akihutubia wanahabari jijini Nairobi, Odinga alisema mnamo 2016, kampuni moja ya Uingereza…
Serikali itakarabati upya shule zilizosalia mahame katika maeneo ambayo hushuhudia mashambulizi ya mara kwa mara. Haya ni kwa mujibu wa waziri wa usalama wa ndani Kithure Kindiki. Waziri huyo alisema serikali imejitolea kufungua tena shule hizo kwa mujibu wa sera yake ya…