Onyo yatolewa kwa wanaoeneza chuki kwenye mitandao ya kijamii.

Waziri wa Usalama wa Ndani Kithure Kindiki ameagiza kuchunguzwa, kukamatwa na kufunguliwa mashtaka kwa watu katika Kaunti ya Lamu wanaotumia mitandao ya kijamii kuchochea chuki za kikabila na kidini. Haya yanajiri kufuatia video iliyosambaa kwa baadhi ya viongozi wakidai kuunda baraza la…

Asilimia 70 ya mapato ya serikali hutumika kulipa deni la umma.

Naibu Rais Rigathi Gachagua amesema kuwa asilimia 70 ya mapato ya serikali hutumika kulipa deni la umma lililorithiwa kutoka kwa utawala uliopita.Gachagua kwa mara nyingine ameilaumu serikali iliyopita kwa changamoto za kiuchumi zinazoshuhudiwa nchini. Akizungumza wakati wa Sherehe za Mahafali ya 92…

Kaunti sita kuadhirika leo huku Kampuni ya uzambazaji umeme nchini KPLC ikikatiza umeme kwenye kaunti hizo kwa siku nzima

BY ISAYA BURUGU,7TH DEC,2023-KAMPUNI ya kusambaza umeme nchini  (KPLC) imeonya kuhusu kukatizwa kwa umeme katika maeneo kadhaa nchini hivi leo Alhamisi. Katika taarifa, kampuni hiyo ilitangaza kuwa baadhi ya maeneo ya kaunti sita za Kenya yatakosa umeme kati ya saa tatu asubuhi…

Ombi lawasilishwa mahakamani kupinga mashtaka dhidi ya Mdhibiti wa Bajeti Margaret Nyakang’o

BY ISAYA BURUGU 7TH DEC 2023-Ombi limewasilishwa mahakamani kupinga mashtaka ya jinai dhidi ya Mdhibiti wa Bajeti Margaret Nyakang’o.Ombi hilo lililowasilishwa na Mbunge wa Nyamira Stephen Mogaka limeorodhesha afisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (ODPP) na Idara ya Upelelezi wa Jinai…

Shule zilizofungwa kaskazini mwa bonde la ufa na mashiriki mwa nchi Kufunguliwa-cs Kindiki

BY ISAYA BURUGU,6TH DEC 2023-Wizara ya Mambo ya Ndani inasema shule zilizofungwa kutokana na mashambulizi ya majambazi huko Pokot Magharibi zinatazamiwa kufunguliwa tena. Akiwa katika ziara ya kukagua  shule zilizotelekezwa katika eneo hilo kufuatia visa vya ukosefu wa usalama,waziri wa usalama wa…

Mafuriko ya Elnino yapelekea vifo vya watu watano zaidi huku idadi ya walioangamia ikifikikia 165

BY ISAYA BURUGU, 6TH DEC 2023-Serikali imetangaza  kuwa watu watano zaidi wameuawa na mafuriko ya El Nino yanayoendelea kote nchini katika muda wa saa 24 zilizopita, na kufanya idadi ya waliofariki kufikia 165.Msemaji wa serikali Dkt Isaac Mwaura, akihutubia wanahabari kutoka Kaunti…

Kinara wa azimio Raila Odinga akosoa matokeo ya mtihani wa KCPE.

Kinara wa upinzani Raila Odinga amedai kuwa makosa yaliyorekodiwa katika matokeo ya mtihani wa KCPE ya mwaka 2023 yaliyotolewa hivi majuzi yana mzozo mkubwa wa ununuzi katika Wizara ya Elimu. Akihutubia wanahabari jijini Nairobi, Odinga alisema mnamo 2016, kampuni moja ya Uingereza…

Serikali kukarabati upya shule zilizosalia mahame katika maeneo ambayo hushuhudia mashambulizi ya mara kwa mara.

Serikali itakarabati upya shule zilizosalia mahame katika maeneo ambayo hushuhudia mashambulizi ya mara kwa mara. Haya ni kwa mujibu wa waziri wa usalama wa ndani Kithure Kindiki. Waziri huyo alisema serikali imejitolea kufungua tena shule hizo kwa mujibu wa sera yake ya…