Mombasa Washukiwa

Washukiwa 5 wa Wizi Wanaswa Mombasa Baada ya Kujitangaza Kwenye TikTok.

Maafisa wa polisi katika kaunti ya Mombasa wamefanikiwa kuwakamata washukiwa tano wanaodaiwa kuhusika na wizi katika maeneo ya Sargoi na vitongoji vyake. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Idara ya Upelelezi wa Jinai nchini (DCI), maafisa wa polisi walifanikiwa kuwakamata washukiwa hao…

Kizazaa chashuhudiwa bungeni wabunge wakiandaa matembezi kuteta kuhusu fedha za hazina ya CDF

BY ISAYA BURUGU,5TH DEC 2023-Kizazaa kimeshuhudiwa leo  Bungeni wakati wabunge walipoandaa matembezi kuhusu kushindwa kwa Serikali kutoa pesa zilizokusudiwa kwa Hazina ya Kitaifa ya Maendeleo ya Maeneo Bunge (NG-CDF). Wabunge hao ambao wanatarajiwa kuendelea na mapumziko siku ya Alhamisi, walimaliza kikao cha…

Hazina ya hustler yatinga shilingi bilioni 41 zilizopewa wakenya tangu kuanzishwa kwake

 BY ISAYA BURUGU,5TH DEC 2023-Hazina ya husler imeweza kutoa mkopo wa kima cha shilingi bilioni 41 kwa zaidi ya wakenya milioni 22 tangu kuanzishwa kwake kwa mjibu wa takiwmu za hivi punde kutoka kwa serikali. Hazina hiyo ambayo imepokea shutuma na sifa…

Mdhibiti wa Bajeti Margaret Nyakang’o aachiliwa kwa dhamana ya shilingi 500,000 pesa taslimu.

Mdhibiti wa Bajeti nchini Margaret Nyakang’o ameachiliwa kwa bondi ya shilingi milioni 2 na chaguo la mdhamini wa kiwango sawia au dhamana ya shilingi 500,000 pesa taslimu. Nyakang’o anayeshtakiwa pamoja na watu wengine 10 alikamatwa asubuhi ya leo mjini Mombasa na kufikishwa…

Peter-Salasya

Mbunge wa Mumias Mashariki Peter Salasya Aachiliwa kwa Dhamana

Mbunge wa Mumias Mashariki Peter Salasya, ameachiliwa kwa dhamana ya shilingi 20,000 baada ya kuhojiwa na maafisa wa Idara ya Upelelezi (DCI) asubuhi ya leo. Kuachiliwa huko kunafuatia madai ya kumtishia maisha Hakimu Gladys Kiama wa Mahakama ya Kakamega. Bw. Salasya, aliyewasili…

Mwalimu wa shule ya msingi amuua rafikiye huko Ndia Kirinyaga kabla ya kujisalimisha kwa polisi

BY ISAYA BURUGU 4TH DEC 2023-Mshtuko umetanda katika kijiji cha Kianjege huko Ndia, Kaunti ya Kirinyaga leo  baada ya mwanamume mwenye umri wa miaka 47 ambaye ni mwalimu wa shule ya msingi kumuua rafiki yake mwalimu mstaafu wa shule ya msingi mwenye…

Watu wanaoishi na ulemavu nchini watoa wito kwa serikali kubuni sera zitakazopelekea matakwa yao kuangaziwa vymema

BY ISAYA BURUGU,4TH DEC,2023-Hafla ya kuadhimisha siku ya watu wanaoishi na ulemavu kimataifa kwenye kaunti ya Narok imeadhimishwa katika  shule ya msingi ya Olesankale mjini Narok. Afisa anayesimamia walemavu kaunti ya Narok Julius Ntayia akizungumza katika kwenye hafla hiyo ,bwana Natayia  amesema…

Supkem lasema kwamba ripoti ya Kamati ya Kitaifa ya Mazungumzo ilifeli kuafiki matarajio ya Wakenya.

Baraza la Waislamu humu nchini (Supkem) limesema kwamba ripoti ya Kamati ya Kitaifa ya Mazungumzo ilifeli kuafiki matarajio ya Wakenya, hasa katika kuangazia namna za kuimarisha gharama ya maisha nchini. Mwenyekiti wa baraza hilo Hassan Ole Naado katika kikao na waandishi wa…