Rais William Ruto ameanza ziara ya siku mbili katika taifa la India, baada ya kukamilika kwa kwa ziara yake kwenye mkutano wa mabadiliko ya tabianchi wa COP28 nchini Dubai. Kulingana na taarifa iliyochapishwa na msemaji wa ikulu Hussein Mohammed, Kiongozi wa taifa…
Huku ulimwengu unapoadhimisha siku ya ukimwi duniani hivi leo, wakaazi wa kaunti ya Narok wamepongeza juhudi zinazofanywa na serikali katika kuwasaidia waathiriwa wa ugonjwa huo. Kwa mjibu wa wakaazi wa kaunti hii waliozungumza na idhaa ya radio Osotua,wamesifia serikali ya kitaiafa kwa…
BY ISAYA BURUGU,1ST DEC,2023-Kenya inaungana na ulimwengu hivi leo kuadhimisha siku ya ugonjwa wa ukimwi duniani.Maadhimisho hayo huangazia juhudi zilizopigwa katika kukabiliana na kuenea kwa virusi vya ukiwmi na ugonjwa wa Ukimwi.Kauli mbiu ya siku ya ukimwi mwaka huu ni ‘Jumuiya ziongoze’,…
Waziri wa Uchukuzi nchini, Kipchumba Murkomen, ameiagiza Mamlaka ya Trafiki na usalama barabarani (NTSA) kuanzisha msako dhidi ya magari ya kibinafsi yanayojihusisha na uchukuzi wa umma bila kibali. Akizungumza siku ya Alhamisi katika mkutano na wamiliki wa matatu nchini ulioandaliwa katika ukumbi…
Rais William Ruto anatarajiwa kuondoka nchini kuhudhuria Kongamano la umoja wa mataifa kuhusu mabadiliko ya Tabia nchi almaarufu COP 28 huko Dubai. Ruto, ambaye amekuwa kiongozi wa Afrika katika wito wa kuchukuliwa hatua za hali ya hewa, atakuwa akitetea Kenya na ajenda…
BY ISAYA BURUGU,30TH NOV,2023-Maafisa watatu wa polisi wa trafiki wamekamatwa leo asubuhi katika kile ambacho maafisa wa upelelezi wa kukabiliana na ufisadi walitaja kama eneo maarufu la kukusanya rushwa katika Barabara ya Mai Mahiu karibu na makutano ya Karagita huko Naivasha, Kaunti…
BY ISAYA BURUGU,30TH NOV,2023 Rais Wiliam Ruto amesema Serikali itawazawadi Wakopaji wa Hustler Fund kwa 50% ya Akiba Yao.Vilevile Wakenya ambao wameweka akiba na Hazina ya Ushirikishwaji wa Kifedha, pia inajulikana kama Hustler Fund, watapata nyongeza ya asilimia 50 ya akiba yao…
BY ISAYA BURUGU 29TH NOV 2023-Serikali imekanusha madai kwamba watoto wachanga watapandikizwa vibandiko vya kielektroniki mwilini mwao katika ugavi wa vitambulisho vya kidijitali. Katibu Mkuu wa Uhamiaji na Huduma kwa Raia Prof Julius Bitok, katika taarifa yake kwa vyumba vya habari, aliondoa…