Serikali ya Kitaifa imezindua rasmi mitambo ya kidijitali inayolenga kufuatilia utekelezaji wa miradi ya maendeleo nchini. Uzinduzi huo umefanyika katika Chuo cha Serikali eneo la Kabete, jijini Nairobi, ukiongozwa na Katibu wa Wizara ya Usalama wa Ndani, Bwana Raymond Omollo. Mitambo hii…
BY ISAYA BURUGU,21ST NOV,2023-Rais Wiliam Ruto hivi leo amelihutubia bunge la umoja wa ulaya jijini Strathburg nchini Ufaranza. Rais Ruto amesisitiza kujitolea kwa Kenya,katika kufanya kazi na mataiafa ya bara ulaya ili kuboresha uhusiano wakibiashara zilizo muhimu katika kuimarisha uhusiano wa kibiashara…
Kaunti ya Mombasa imeorodheshwa kama kaunti ambayo ina visa vingi vya unyakuzi wa ardhi nchini. Haya ni kwa mujibu wa Tume ya maadili na kupambana na Ufisadi nchini EACC. Hata hivyo tume hiyo imefanikiwa kurejesha Vipande vitatu vya Ardhi vilivyokuwa vimenyakuliwa kutoka…
Mwalimu mmoja katika kaunti ya Garissa ameaga dunia asubuhi ya Jumanne, baada ya kugongwa kichwani na kipanga (Propeller) ya helikopta iliyokuwa ikisafirisha mtihani wa KCSE. Tukio hilo limetokea eneo la Masalani huko Ijara, wakati wa usamabazaji wa mitihani katika vituo mbalimbali. Kamishna…
BY ISAYA BURUGU,20TH NOV,2023-Mahakama Kuu imetoa uamuzi wa kusitisha agizo la serikali la kutaka baadhi ya maafisa wa polisi 67 kusimamishwa kazi kwa madai ya kupokea hongo na makosa mengine. Mkuu wa Utumishi wa Umma Felix Koskei Alhamisi wiki jana alimwagiza Inspekta…
BY ISAYA BURUGU,20TH NOV,2023-Aliyekuwa Waziri wa Hazina kuu Henry Rotich ameiomba mahakama kumwachilia huru katika kesi ya Ksh.63 bilioni ya Arror na Kimwarer, akisema kwamba simulizi kwamba pesa zilipotea au kuibiwa ni za kubuni. Anasema kuwa upande wa mashtaka umeshindwa kuthibitisha kesi…
Kiongozi wa upinzani Raila Odinga sasa anataka kujiuzulu mara moja kwa Waziri wa Kawi Davis Chirchir na mwenzake wa Hazina ya kitaifa Njuguna Ndung’u. Hii ni kutokana na madai ya mpango wa ununuzi wa mafuta kupitia mkataba uliotiwa saini kati ya serikali…
Wizara ya Usalama wa Ndani na Utawala wa Kitaifa imezindua mchakato wa kukusanya maoni kutoka kwa wananchi, kuhusu mapendekezo ya kuongeza ada za kupata nyaraka muhimu ikiwa ni pamoja na kitambulisho cha kitaifa na pasipoti. Katika taarifa iliyotolewa mapema leo na Katibu…