Naibu Rais Rigathi Gachagua apania kubuni kamati itakayojadili mbinu za kukabili uraibu wa dawa za kulevya pwani.

Naibu Rais Rigathi Gachagua amesema kuwa hivi karibuni atabuni kamati ya washikadau mbalimbali itakayojumuisha magavana wa ukanda wa pwani ili kujadili mbinu za kukabili uraibu wa dawa za kulevya katika ukanda huo. Akizungumza katika kaunti ya kilifi, Gachagua ameeleza kuwa uraibu na…

Wahudumu wa Texi kaunti ya Uasin Gishu walalamikia mpango wa serikali kuongeza gharama ya mafuta kufikia KSH 300

 BY ISAYA BURUGU,11TH NOV,2023-Wahudumu wa taxi kaunti ya Uasin Gishu wamelezea wasiwasi wao kuwa mpango wa serikali kuongeza bei ya mafuta kufikia shilingi mia tatu kwa lita utawatatiza pakubwa katika shughuli zao. Wakizungumza na wandishi Habari mjini Eldoret,wahudumu hao wamesema tangu bei…

Police waanzisha uchunguzi huku mtoto mchanga akiokolewa kutoka shimo la choo Narok

BY ISAYA BURUGU,11TH NOV,2023-Maafisa wa polisi hapa mjini Narok,wameanzisha uchunguzi baada ya mtoto  mchanga wakiume wa siku moja kupatikanametupwa  katika shimo la choo nyuma ya bweni  kwenye chuo nani ya kikuu cha Masai Mara Karibu na mji wa Narok. Kwa mjibu wa…

Zaidi ya vituo vya afya 70 vyafungwa Narok kwa kukosa kuafikia viwango vinavyohitajika.

Zaidi ya vituo vya afya 70 vimefungwa katika kaunti ya Narok kwa kukosa kuafikia viwango vinavyohitajika kisheria kuhudumia wananchi huku watu 6 wakitiwa mbaroni. Hii ni kufuatia zoezi la kukagua hospitali sawa na vituo vyote vya afya kaunti hii. zoezi hilo liliendeshwa…

KCCB

KCCB Yaitaka Serikali Kuzingatia Mabadiliko katika Sekta ya Afya.

Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki nchini KCCB, linaitaka serikali kuzingatia kwa kina suala la mabadiliko katika sekta ya afya, ili kuhakikisha kuwa wakenya wananufaika na mabadiliko yanayofanyika. Katika taarifa ya pamoja iliyotolewa na KCCB katika Kituo Cha Uchungaji Cha St Mary…

NYS

Rais Aagiza Asilimia 80 ya Makurutu wa Asasi za Usalama Kutengewa Idara ya NYS.

Rais William Ruto, ameagiza idara za usalama nchini, kuwapa kipaumbele wananchi waliohudumu katika idara ya huduma ya kitaifa ya vijana (NYS). Kulingana na agizo hilo, asilimia 80 ya makurutu wote watakaochukuliwa katika idara za Polisi, Jeshi, maafisa wa kulinda misitu na wale…

Rais William Ruto atoa hotuba yake ya kwanza kwa taifa miezi 14 baada ya kutwaa madaraka.

Rais William Ruto hii leo ametoa hotuba yake ya kwanza kwa taifa miezi 14 baada ya kutwaa madaraka. Miongoni mwa masuala ambayo amezungumzia ni pamoja na gharama ya maisha. Rais Ruto amesema kuwa serikali yake imejitolea kuhakikisha kuwa gharama ya maisha inarudi…

KINDIKI KITHURE - Radio Osotua

Waziri wa usalama wa ndani Kithure Kindiki atetea mpango wa serikali kuwatuma maafisa wa polisi nchini Haiti.

BY ISAYA BURUGU,9TH NOV,2023-Waziri wa usalama wa ndani Kithure Kindiki amesema kuwa mpango wa serikali kuwatuma wanajeshi wapatao 1000 kulinda amani nchini Haiti hautadhiri usalama wa taiafa hili. Akizungumza bungeni hivi leo,Waziri amesema cha muhimu ni kuhakikisha kuwa maafisa wa polisi wa…