Sabina Chege na Mark Mwenje

Sabina Chege Atemwa Nje ya Wadhifa wa Naibu Mnadhimu wa Wachache Bungeni.

Mbunge wa Embakasi Magharibi, Mark Mwenje, ameidhinishwa kuwa Naibu Mnadhimu wa Wachache katika Bunge la Taifa, akichukua wadhifa huo kutoka kwa Mbunge Mteule Sabina Chege. Uamuzi huu ulitangazwa rasmi na Spika wa Bunge, Moses Wetangula, baada ya kesi iliyokuwa inazuia mabadiliko katika…

Mahakama ya Rufaa ya Nyeri yakataa kusimamisha Bunge la Kaunti ya Meru kujadili hoja ya kumtimua Gavana Kawira Mwangaza.

Mahakama ya Rufaa ya Nyeri mapema hii leo ilikataa kusimamisha Bunge la Kaunti ya Meru kujadili hoja ya kumtimua Gavana Kawira Mwangaza. Gavana huyo aliwalisilisha ombi Mahakamani kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu ya Meru dhidi yake wa kusitisha bunge hilo kujadili kuhusu…

Waziri wa Utumishi wa Umma - Moses Kuria

Waziri Moses Kuria Aahidi Uwajibikaji Katika Wizara ya Utumishi wa Umma.

Waziri wa Utumishi wa Umma nchini Moses Kuria ametoa ahadi ya kuboresha utendakazi wa watumishi wa umma katika nchi. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa mipango ya kuboresha idara ya NYS eneo la Ruaraka leo, Waziri Kuria alisisitiza umuhimu wa uwajibikaji kwa watumishi…

Taharuki yatanda eneo la Kapindasum  baada ya washukiwa wa ujambazi kuzingira kambi ya maafisa wa polisi

BY ISAYA BURUGU,24TH OCT 2023-Hali ya taharuki imetanda katika eneo la Kapindasum  baada ya washukiwa wa ujambazi kuzingira kambi ya maafisa wa polis  Baringo ya kusini. Taarifa pia zinaarifu kuwa majangili hao wamezingira shule ya msingi ya  Kapindasum na kusababisha hofu .Kwa…

Mahakama kuu yatoa uwamuzi wa kurefusha amri ya kuizuia serikali  kutowapeleka maafisa wa polisi nchini Haiti

BY ISAYA BURUGU 24TH OCT 2023-Mahakama kuu hivi leo  imetowa uwamuzi wa kurefusha amri ya kuizuia serikali  kutowapeleka mamia ya maafisa wa polisi nchini Haiti, kupitia mpango unaoungwa mkono na Umoja wa mataifa kwa lengo la kuleta amani katika taifa hilo la…

Mahakama ya Narok yawapiga faini wanaume wawili waliopatikana na hatia ya kuuza nyama ya wanyamapori.

Mahakama ya Narok imewapiga faini ya shilingi elfu 200 ,elfu 5 na elfu 100  ama kifungo cha mwaka moja gerezani wanaume wawili waliopatikana na hatia ya kuuza nyama ya wanyamapori  katika kijiji cha mosiro Narok kaskasini. Wawili hao james parsian kindi mwenye…

EACC Yasitisha Malipo ya Ksh. 103M kwa Zabuni ya Mfumo wa Ukusanyaji Mapato Kilifi.

Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi nchini (EACC) imetoa agizo kwa Serikali ya Kaunti ya Kilifi kusimamisha malipo ya shilingi milioni 103 kuhusiana na zabuni ya kununua mfumo wa usimamizi wa ukusanyaji mapato. Kwa mujibu wa barua iliyotumwa kwa Gavana wa…

Kongamano la Uongozi la Kamwene kupigania maslahi ya wakaaji wa MT.Kenya-Karua

BY ISAYA BURUGU 23RD OCT,2023-Kiongozi wa chama cha Narc-Kenya Martha Karua na Katibu Mkuu wa Chama cha Jubilee Jeremiah Kioni hivi leo wamezindua  rasmi Kongamano la Uongozi la Kamwene, mungano  ambao wanasema utakuwa wa kukuza masilahi kutoka eneo la Mlima Kenya. Akiwahutubia…