Uzinduzi wa vitambulisho vya kidijitali nchini kufanyika siku ya jumatatu katika kaunti ya Nakuru.

Uzinduzi wa vitambulisho vya kidijitali nchini utafanyika siku ya jumatatu katika kaunti ya Nakuru. Wizara ya uhamiaji nchini inapania kuzindua kadi ya maisha itakayotumika kusajili maelezo ya wakenya wote kidijitali. Akizungumza alipokutana na wadu watakaoendesha zoezi la usajili, katibu katika idara ya…

Akina mama na madakitari kaunti ya Narok watakiwa kushirikiana kukomesha dhulma dhidi ya akina mama wakati wa kujifungua

BY ISAYA BURUGU,28TH SEPT,2023-Wito umetolewa kina mama sawa na madaktari katika kaunti ya Narok na kote nchini kushirikiana kukomesha dhuluma kwa kina mama wanapojifungua.wito huu umetolewa na kina mama na madaktari kwENYE  warsha iliyoandaliwa na shirika la White Rippon Allance Kenya ili…

Githu Muigai asema watalam wanapaswa kuhusishwa katika kubuni ya uchaguzi nchini

BY ISAYA BURUGU,28TH SEPT,2023-Aliyekuwa mkuu wa sheria profesa Githu Muigai amesema kuwa watalamu mbali mbali kutoka kwenye Nyanja tofuati  wanapaswa kushirikishwa katika kubuni tume ya uchaguzi nchini. Muigai akizungumza katika kikao cha  kamati ya uiano inayongozwa na wawakilisha wa marengo ya Azimio…

Rais Ruto aelezea furaha yake kufuatia hatua ya mataifa ya Afrika mashariki kushinda haki za kuandaa AFCON 2027

BY ISAYA BURUGU,27TH SEPT,2023-Shirikisho la Soka barani Afrika limezipa Kenya, Uganda na Tanzania haki ya kuandaa Kombe la Mataifa ya Afrika 2027. Rais wa CAF Patrice Motsepe alitangaza Zabuni ya Pamoja ya Afrika Mashariki kama mshindi wa haki za kuandaa bonanza la…

Mshukiwa Wa Mauaji Ya Mkurugenzi Eric Maigo kusalia kizuizini kwa siku 21 zaidi

BY ISAYA BURUGU,27TH SEPT 2023-Mshukiwa  anayedaiwa kumuua Mkurugenzi wa Fedha wa Hospitali ya Nairobi hospitalEric Maigo atasalia chini ya ulinzi wa polisi kwa siku 21 ili kuruhusu polisi kukamilisha uchunguzi. Mtoto huyo mwenye umri wa miaka 16 alikamatwa siku ya Jumanne katika…

Kalonzo asema wafadhili wa uchaguzi mkuu wa mwaka jana wameteka serikali nyara

BY ISAYA BURUGU,27TH SEPT,2023-Kiongozi wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka ameelezea wasiwasi wake kuhusu kile anachotaja kuwa ushawishi mkubwa wa wafadhili wa kisiasa kwa serikali. Akizungumza katika warsha ya mashauriano ya sekta mbalimbali kuhusu ajenda ya marekebisho ya sheria ya uchaguzi iliyofanyika…

Chama cha Jubilee chajitambulisha kuwa chama huru, kisichohusishwa na muungano wowote wa kisiasa.

Chama cha Jubilee sasa kinajitambulisha kuwa chama huru, kisichohusishwa na muungano wa kisiasa wa Azimio la Umoja au Kenya Kwanza. Haya yalibainishwa na kaimu kinara wa chama hicho Sabina Chege katika ukumbi wa Bomas of Kenya ambapo walikuwa wakiwasilisha mapendekezo yao mbele…

Mshukiwa wa Mauaji ya Eric Maigo Akamatwa.

Mshukiwa wa Mauaji ya Mkurugenzi Eric Maigo Akamatwa.

Mshukiwa mkuu wa mauaji ya Mkurugenzi wa Fedha katika Hospitali ya Nairobi Eric Maigo, amekamatwa. Kwa mujibu wa taarifa kutoka DCI, mshukiwa huyo, ambaye ni msichana mwenye umri wa miaka 16, alikamatwa usiku wa jana katika eneo la Kibera jijini Nairobi. Zoezi…