Wakfu wa Safaricom kwa ushirikiano na serikali ya kaunti ya Narok watia saini mkataba wa matibabu ya bure.

Wakfu wa Safaricom kwa ushirikiano na serikali ya kaunti ya Narok wametia saini mkataba wa matibabu utakaowawezesha wakaazi wa kaunti hii kupokea huduma za afya bila malipo yoyote. Kulingana na mwenyekiti wa wakfu huo Joseph Ogutu mkataba huo utatekelezwa kwa muda wa…

Vyuo vikuu nchini vyatakiwa kushirikiana na vyuo vingine barani Afrika kuboresha uwezo

BY ISAYA BURUGU,7TH SEPT,2023-Vyuo vikuu na taasisi zingine za elimu ya juu humu nchini vimetakiwa kushirikiana na tassisi zingine za elimu ya juu baranai Afrika na kwingineko ulimwenguni ili kuimarisha uwezo wake kutoa mafunzo bora Zaidi yatakayowawezesha wasomi kufanikiwa katika ulimwengu wa…

Maeneo mbali mbali kukosa umeme siku nzima leo KPLC ikiripoti kufanya ukarabati mitambo yake.

BY ISAYA BURUGU 7TH SEPT,2023-Kampuni ya Kusambaza Umeme Nchini (KPLC)  imetoa ilani kuhusu kukatizwa kwa umeme katika maeneo kadhaa hivi leo  Alhamisi.Katika taarifa yake, kampuni hiyo ilitangaza kuwa maeneo kadhaa katika kaunti sita za Kenya yatakosa umeme kati ya saa mbili asubuhi…

Asilimia 40 ya wanafunzi bado hawatuma maombi ya kupokea HELB.

Waziri wa elimu Ezekiel Machogu ameeleza kuwa zaidi ya wanafunzi laki moja tayari wametuma maombi yao wakitafuta fedha za ufadhili wa masomo pamoja na HELB kufikia jana tarehe 5. Machogu hata hivyo amesema kuwa asilimia 40 ya wanafunzi kati ya 265,000 bado…

Kamati kuu ya ODM yaazimia kuwatimua wabunge wakaidi huku wengine wakitozwa faini

 BY ISAYA BURUGU,6TH SEPT,2023-Kamati kuu ya chama cha ODM imafikia kumtimua chamani mbunge wa Gem  Elisha Odhiambo , Seneta wa Kisumu Tom Ojienda  mbunge wa Bondo  Gideon Ochanda , mbunge wa Langata Felix Odiwuor  na Caroli Omondi  ambaye ni mbunge wa eneo…

Kongamano la mazingira Afrika lafikia tamati viongozi wakiafkiana kukusanya dola bilioni mia moja kufanikisha juhudi za kukabili mabadiliko ya Tabia nchi

BY ISAYA BURUGU,6TH SEPT 2023-Serikali imepitisha Azimio la Nairobi kutenga fedha zitakazoelekezwa katika kukabiliana na mabadiliko ya Tabia nchi. Viongozi wameahidi kuchangisha anagalau dola bilioni mia moja  kufadhili miradi ya kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa. Katika kongamano la Afrika kuhusu…

Mahakama kuu yafutilia mbali uteuzi wa Alice Kering kama mwakilishi wadi mteule kwenye bunge la kaunti ya Narok

BY ISAYA BURUGU 6TH SEPT 2023-Mahakama kuu nchini imefutilia mbali uteuzi wa Alice Kering kama mwakilishi wadi mteule kwenye bunge la kaunti ya Narok. Mahakama hiyo kupitia jaji Francis Gikonyo imempa ushindi Josphine Seneyio Torome aliyewasilisha kesi ya kupinga uteuzi huo wa…

Magavana

Bunge la Seneti Kuwazuia Waliokuwa Magavana Dhidi ya Kurejea Kama Maseneta au MCA.

Maseneta nchini Kenya wanapanga kuwasilisha mswada mbele ya bunge la taifa lenye lengo la kuzuia magavana waliomaliza mihula yao kushiriki katika siasa mara moja baada ya kumaliza muda wao wa uongozi. Kulingana na mapendekezo hayo, wanasiasa waliohudumu kama magavana hawataruhusiwa kuwania nyadhifa…