Matatu

Raila Odinga Amkemea Rais Ruto kwa Kauli ya “Mambo ni Matatu”

Kinara wa chama cha Azimio La Umoja, Raila Odinga, ametoa kauli kali kumkosoa Rais William Ruto kuhusu matamshi yake ya hivi karibuni yanayowalenga wanaodaiwa kuhusika na ufisadi nchini Kenya. Raila Odinga, ambaye alikuwa akizungumza kwenye hafla ya mazishi ya aliyekuwa mwenyekiti wa…

Serikali yaripoti kufanikiwa kwa chanjo dhidi ya Kipindupindu inayolenga kaunti nane

BY ISAYA BURUGU 2ND SEPT 2023-Jumla ya watu 1,699,759 wamepokea chanjo ya kipindupindu tangu Agosti 3 ilipozinduliwa  kampeni ya chanjo ya Oral Cholera (OCV) inayolenga kaunti nane zilizo katika hatari kubwa ambapo milipuko ya ugonjwa huo imeripotiwa mara kwa mara. Katika taarifa…

National E-Mobility Programme KENYA

Rais William Ruto Azindua Mpango Usafiri Unaotumia Nguvu za Umeme.

Rais William Ruto amewaongoza katika uzinduzi wa mpango wa usafiri unaotumia nguvu za umeme, kwenye hafla iliyoandaliwa katika kaunti ya Mombasa. Mpango huo, unaojulikana kama National E-Mobility Programme, una lengo la kuimarisha matumizi ya nguvu za umeme kama njia mbadala ya nishati…

Rais Wiliam Ruto atia saini miswada miwili muhimu katika vita dhidi ya ulanguzi wa fedha za mabadiliko ya tabia nchi

BY ISAYA BURUGU 1ST SEPT 2023-Rais William Ruto  leo ametia  saini Miswada miwili muhimu: Mswada wa Marekebisho ya Sheria ya Kupambana na Usafirishaji Haramu wa Pesa na Ufadhili wa Ugaidi, 2023, na Mswada wa Marekebisho ya Mabadiliko ya Tabianchi. Miswada hii inawakilisha…

Serikali yalenga wakulima 176000 katika mpango wa utoaji mbolea ya ruzuku awamu ya pili kaunti ya Migori

BY ISAYA BURUGU 1ST SEPT,2023-Serikali inalenga wakulima 176000 katika wamu ya pili ya usajili wa ruzuku ya mbolea katika kaunti ya Migori. Kamishna wa kaunti ya Migori David Gitonga aliyekuwa akizungumza katika mkutano uliyowaleta Pamoja wakuu wa kilimo kutoka serikali ya kaunti,utawala…

Nakhumicha Worldcoin

Waziri Nakhumicha Asema Huenda Usajili wa WorldCoin Ukaathiri Afya ya Wananchi.

Waziri wa Afya nchini, Susan Nakhumicha, ametoa onyo kuhusu hatari za kiafya zinazoweza kutokea kwa Wakenya iwapo wataendelea kushiriki katika shughuli za usajili kwa huduma za World Coin. Huduma hizi za sarafu ya kidijitali zilihitaji wananchi kupiga picha ya mboni za macho…

Mkurugenzi mteule wa mashataka ya umma Renson Mulele apigwa msasa na kamati ya sheria .

Mkurugenzi mteule wa mashataka ya umma Renson Mulele amehojiwa hii leo na kamati ya sheria katika bunge la kitaifa. Mulele alitakiwa kueleza sababu halisi za kuondolewa kwa kesi za watu mashuhuri nchini mahakamani. Mulele aliyehudumu katika ofisi ya mkurugenzi wa mashtaka ya…

Jumla ya kaunti saba kukosa umeme siku nzima leo Kampuni ya KPLC ikitangaza ukarabati wa mitambo

BY ISAYA BURUGU,31ST AUG 2023-Kampuni ya Kusambaza Umeme Nchini (KPLC) kwa mara nyingine imetangaza kukatizwa kwa umeme ambako kumepangwa kufanyika leo Alhamisi. Maeneo kadhaa katika takriban kaunti saba nchini  yatakosa umeme kuanzia saa tatu asubuhi hadi saa kumi na moja jioni. Kaunti…