BY SAIAYA BURUGU 25TH AUG 2023-Washukiwa wawili wa wizi wa kimabavu wanaoaminika kuwa na uhusiano na genge kuu la wahalifu linaloripotiwa kumwibia ajuza wa miaka 76 huko Serem kaunti ya Vihiga mwezi jana kabla ya kumbaka ajuza huyo na kisha kumuua wamekamatwa.…
BY ISAYA BURUGU 2TH AUG 2023-Wakazi wa mji wa Narok wamenufaika na msaada wa huduma za matibabu bila malipo zilizotolewa katika uwanja wa Wiliam Ole Ntimama mjini Narok na shirika la AMREF kwa ushirikianolo na hospitali ya rufaa ya Narok saw ana…
Waziri wa Usalama wa Ndani nchini, Kithure Kindiki, amekiri rasmi kuwepo kwa tatizo kubwa la ufisadi na ubaguzi katika Idara ya Uhamiaji ya nchi. Kauli hii imetolewa wakati wa kikao cha Kamati ya Utawala wa Kitaifa katika Bunge la Kitaifa. Waziri Kindiki…
Mtandao wa kijamii unaotumia video fupi kupitisha maudhui wa Tiktok utafanya kazi na Kenya katika mchakato wa kutekeleza mageuzi na kufuatilia maswala yanayochapishwa na wakenya katika mtandao huo. Hatua hiyo ,kwa mjibu wa rais Wiliam Ruto itahakikisha kuwa yanayochapishwa kwenye jukwaa hilo…
BY ISAYA BURUGU 24TH AUG 2023-Padri Micheal Muriuki aliyetekwa nyara jana nyumbani kwa wazazi wake eneo la Mau Narok amepatikana akiwa salama.Padri huyo anaripotiwa kupatikana huko Kaptembwa Nakuru magharibi hivi leo asubuhi akiwa amefungwa kwa Kamba.Amekimbizwa katika hospitali ya rufaa ya Nakuru.…
BY ISAYA BURUGU 24TH AUG 2023-Mtandao wa kijamii unaotumia video fupi kupitisha maudhui wa Tiktok utafanya kazi na Kenya katika mchakato wa kutekeleza mageuzi na kufuatilia maswala yanayochapishwa na wakenya katika mtandao huo.Hatua hiyo ,kwa mjibu war ais Wiliam Ruto itahakikisha kuwa…
BY ISAYA BURUGU,23RD AUG 2023-Waziri wa michezo Ababu Namwamba amekanusha madaui kuwa afisi yake imewapuuza wanariadha wa humu nchini,wanamichezo sawa na wanawake wanajihusisha katika michezo. Akifika mbele ya bunge hivi leo Namwmaba ambaye alikuwa akijibu maswali kuhusu kuipuuza timu ya wanamichezo wenye…
BY ISAYA BURUGU 23RD AUG 2023-Aliyekuwa Gavana wa Kakamega Wycliffe Oparanya na mkewe Priscillah Oparanya wamekamatwa na maafisa wa Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI) kufuatia uvamizi wa nyumba zao za Nairobi na Kakamega. Gavana huyo wa zamani alihojiwa na maafisa wa…