BY ISAYA BURUGU 8TH AUG,2023-Halmashauri ya kitaifa ya kukabili pombe na mihadarati NACADA imeanzisha uchunguzi kuhusu madai ya ulanguzi wa dawa ya kulevya aina ya ventanil ambaye inaminika kuibwa kutoka kwenye vituo vya afya na na kusambazwa kwa umma eneo la pwani.…
BY ISAYA BURUGU 18TH AUG 2023-Mtu mmoja ambaye ni mwanafunzi ameaga dunia huku watu wengine 18 wakiachwa na majeraha baada ya kuhusika katika ajali ya bara barani eneo la Leperes kwenye bara bara kuu ya Narok-Bomet Narok. Kamanda wa polisi Narok kusini…
Inspekta Jenerali wa Polisi Japhet Koome hii leo aliwapandisha kighafla vyeo maafisa wawili wa polisi baada ya kukagua gwaride katika Chuo cha Mafunzo ya Polisi cha Kiganjo Kaunti ya Nyeri. Inspekta jenerali ametangaza kuwapandisha maafisa hao hadi ngazi ya Corporal kwa kigezo…
Rais William Ruto ameongoza kikao cha baraza la mawaziri katika Ikulu ya Sagana leo asubuhi, huku akiwa katika hatua za mwisho za ziara yake ya siku tano katika eneo la Mlima Kenya. Kikao hicho ni cha kwanza katika serikali ya Kenya Kwanza…
BY ISAYA BURUGU,7TH AUG 2023-Ziara ya rais Wiliam Ruto eneo la kati mwa nchi imeingia siku ya tatu hivi leo.Akikutana na wenyeji wa kaunti ya Nyeri hivi leo,rais aliandamana na viongozi wengine wakuu serikalini.rais Wiliam Ruto ameanzisha muradi wa ujenzi wa Barabara…
BY ISAYA BURUGU TH AUG 2023-Mahakama imekataa kutoa ilani ya kusitisha utekelezwaji wa sehemu za mswada wa bajeti wa mwaka 2023 haswa kusitoisha makato ya walioajiriwa na wajiri ili kufadhili muradi wa serikali wa ujenzi wa nyumba . Mahakama hiyo imesema kuwa…
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya kudhibiti Kawi na bei ya bidhaa za Petroli EPRA Daniel Kiptoo Bargoria ameagizwa kufika mahakamani Agosti 13 kwa kukiuka maagizo ya mahakama kuhusu Sheria ya Fedha ya 2023. Mahakama Kuu ilitoa wito huo Jumatatu wakati wa kutajwa…
Jopo la majaji watatu walioteuliwa kusikiliza na kuamua kesi inayohusu uhalali wa sheria za fedha za mwaka 2023 limeanza vikao vyake leo kwenye mahakama ya Milimani. Majaji hao, Jaji David Majanja, Jaji Christine Meoli, na Jaji Lawrence Mugambi, wanatarajiwa kufanya maandalizi muhimu…