Rais William Ruto amesisitiza msimamo wake kwamba hatakubali kugawana nyadhifa za uongozi na upinzani kwa njia yoyote ile. Akiwahutubia wananchi katika eneo la Githurai kaunti ya Kiambu baada ya uzinduzi wa miradi ya maendeleo, Rais amesema kwamba hatakubali kuyumbishwa na vitiso vya…
Mahakama ya Narok imewaachilia kwa dhamana wazazi wa msichana mmoja mwenye umri wa miaka 15, baada yao kumlazimisha kukeketwa kinyume cha sheria licha ya kuwa mjamzito. Wazazi hao, Dennis Kishoiyan na mkewe Mariciana Kishoyian, walifikishwa mbele ya mahakama ya Narok siku ya…
Huku shule zikielekea kufungwa juma lijalo, Mamlaka ya Trafiki na Usalama Barabarani (NTSA) imechukua hatua za tahadhari kwa madereva na wachukuzi wengine wa umma dhidi ya kuvunja sheria za trafiki na utovu wa nidhamu barabarani. Hatua hii inalenga kuhakikisha usalama wa wanafunzi…
Ripoti mpya ya Amnesty International imefichua kuwa takriban watu 11 walipoteza maisha katika kaunti za Kisumu na Kisii wakati wa maandamano dhidi ya serikali majuma mawili yaliyopita. Matokeo kutoka kwa ripoti hiyo, iliyotolewa kwa pamoja na Chama cha mawakili LSK na Chama…
BY ISAYA BURUGU 4TH AUG 2023-Serikali ya kaunti ya Kisii imeanza mpango wa kusambaza matenki ya maji katika shule zinazokumbwa na changamoto za kupata maji. Vilevile mpango huo unaohusisha wizara ya maji ya kaunti hiyo unanuiwa kukabili magonjwa yanayoletwa na matumizi ya…
BY ISAYA BURUGU 4TH AUG,2023-Rais William Ruto ataanza ziara yakimaendeleo eneo la Mlima Kenya wikendi hii hadi wiki ijayo.Ziara hiyo ya siku tano itaanza hiyo kesho Jumamosi kwa safari ya barabarani kutoka Nairobi, ikiambatana na vituo vya kusimama Githurai na Kenol. Katika…
BY ISAYA BURUGU,3RD AUG 2023-Serikali imedhibitisha kuwa muradi wa sarafu kidigitali ya Worldcoin, ambayo oparesheni zake zimesitishwa humu nchini haujasajiliwa kisheria nchini Kenya. Kupitia taarifa ya Pamoja iliyotolewa na wizara za usalama wa ndani sawa na ile ya teknologia ya mawasiliano ya…
Chama cha mawakili nchini LSK kimewaandikia barua polisi, kutaka taarifa kuhusu idadi ya watu waliokamatwa na kuzuiliwa wakati wa maandamano ya Azimio. Pia inawataka polisi kuwapa stakabadhi zozote zinazohusiana na uchunguzi wa maiti na chanzo cha vifo vya waliofariki kutokana na maandamano…