BY ISAYA BURUGU 28TH JULY,2023-Rais mstaafu Uhuru Kenyatta hivi leo ameungana na viongozi wa Azimio la Umoja kwa ibaada maalum kuwaombea familia za watu waliouawa kwenye mandamano yaliyondaliwa maajuzi kupinga gharama ya juu ya Kimaisha.Hafla hiyo inaandaliwa katika mtaa wa mtaa wa…
Wizara ya teknolojia na mawasiliano nchini imedhibitisha taarifa kuwa wadukuzi walijaribu kupenyeza ndani ya Tovuti ya E-Citizen inayotumika katika utoaji wa huduma za serikali. Kwa mujibu wa Taarifa iliyochapishwa alasiri ya leo na waziri wa mawasiliano nchini Eliud Owalo, wadukuzi walijaribu kupenyeza…
Maseneta nchini wameshtumu mawaziri watatu, akiwemo Waziri wa Mahusiano ya Nje, Alfred Mutua, Waziri wa Afya, Susan Nakhumicha, na Waziri wa Leba, Florence Bore, baada yao kukataa kujiwasilisha katika vikao vya bunge hilo. Lengo la kujiwasilisha kwao lilikuwa ni kutoa taarifa na…
Kinara wa Azimio Raila Odinga hii leo amezuru hospitali ya Kenyatta kuwatembelea majeruhi waliolazwa katika hopsitali hiyo kutokana na mashambulizi katika mandamano yaliyopita. Zaidi ya watu 20 wamelezwa katika hospitali hiyo sawa na hospitali zingine jijini Nairobi. Odinga amelaani kile alichokitaja kama…
BY ISAYA BURUGU 26TH JULY 2023- Rais Wiliam Ruto yupo nchini Tanzania kuhudhuria mkutano wa kimataiafa wa rasilimali watu.Kwenye hotuba yake ya ufunguzi,rais wa Tanzania Samia Suluhu Hasani amelezea umuhimuwa kuwekeza haswa kwenye vijana anaosema wana uwezo mkubwa wa kuinua mstakabali wa…
BY SAIAYA BURUGU 26TH JULY 2023-Ibaada maalum inaandaliwa hivi leo katika kanisa katoliki la Christ the king mjini Nakuru kuwakumbuka waadhiriwa wa mauaji katika mandamano ya wiki iliyopita Nakuru magharibi. Muungano wa Azimio ulisitisha maandamano ya leo huku Wafuasi wa Azimio wakitakiwa…
Kinara wa Upinzani nchini Raila Odinga, sasa anasema kwamba viongozi kutoka upande wa serikali wamekataa kujihuisha katika aina yoyote ya mazungmo na upinzani ili kutafuta suluhu kuhusu mgogoro uliopo kati ya pande hizi mbili. Odinga aliyezungumza mapema leo, amefichua kuwa Rais wa…
BY NEWSDESK,25TH JULY,2023-Wakaazi wa eneo la kona katika kaunti ndogo ya Tana delta wanaishi kwa hofu baada ya kupoteza mifugo wa tuhuma za maji ya sumu katika bwawa la kipekee la maji eneo hilo.Wanadai kuwa wamepoteza Zaidi ya ngombe mia tatu katika…