Muungano wa Azimio La Umoja One Kenya umetangaza kuwa utafanya maandamano dhidi ya serikali kwa siku tatu mfululizo wiki ijayo kuanzia Jumatano hadi Ijumaa. Katika taarifa iliyotolewa siku ya Ijumaa, muungano huo ulisema kutokana na matakwa ya umma, umelazimika kubadili mpango wake…
Siku moja baada ya maandamano ya upinzani yaliyoteka maeneo mengi ya taifa siku ya jana, viongozi mbalimbali serikalini wamejitokeza kukashifu machafuko yaliyoshuhudiwa kwenye maandamano hayo, ambayo kando na kusababisha hasara ya mabilioni ya fedha pia yalichangia vifo vya wananchi kadhaa huku wengine…
Waziri wa Uchukuzi Kipchumba Murkomen amesema kuwa uharibifu uliotokea katika barabara ya express way unaweza kuwa zaidi ya Ksh.706.7 milioni ambayo ni sawa na dola milioni 5. Hii ni baada ya waandamanaji kung’oa ua na kuharibu barabara hapo jana wakati wa maandamano…
Mawaziri Kithure Kindiki wa usalama wa ndani, Ezekiel Machogu wa Elimu pamoja na Susan Nakhumicha wa Afya wameorodheshwa kama mawaziri wanaotekeleza majukumu yao kikamilifu katika utafiti wa hivi majuzi. Utafiti huo, uliotolewa Alhamisi na kampuni ya utafiti ya TIFA, ulimweka waziri Kindiki…
BY ISAYA BURUGU 13TH JULY 2023-Waziri wa usalama wa ndani Kithure Kindiki amewataka maafisa wa polisi kutowadhulumu wananchi kivyovyote wanapotekeleza majukumu yao. Akizungumza alipongoza ufunguzi wa kituo cha polisi na afisi ya chifu huko Kiseriani kaunti ya Kajiado,Waziri amewataka polisi kujizatiti na…
BY ISAYA BURUGU 13TH JULY 2023-Mbunge wa eneo bunge la Mavoko Patrick Makau amekamatwa. Makau amekamatwa nyumbani kwake Karen Nairobi asubuhi ya leo. Nyumba ya mbunge huyo ilivamiwa mwendo was aa kumi za alfajiri na makachero kutoka kitengo cha upelelezi wa jinai…
Rais William Ruto amemkaribisha Rais Ebrahim Raisi wa Iran katika ikulu ya Nairobi, ambapo viongozi hao wameahidi kuimarisha ushirikiano kati ya Kenya na Iran katika sekta mbalimbali za kiuchumi na masuala mengine. Katika mkutano wao, Rais Ruto na Rais Raisi wamezungumzia umuhimu…
Kinara wa Azimio la Umoja One Kenya Raila Odinga amesitisha mkutano wa kupinga serikali uliokuwa umepangwa kufanyika katika uwanja wa Kamukunji. Akihutubia wanahabari, Odinga alisema hatua hiyo ilichochewa na hatari kubwa ya ukosefu wa usalama inayotokana na machafuko yanayoshuhudiwa katika baadhi ya…