BY ISAYA BURUGU 10TH JULY 2023-Mtoto wa miaka tisa amefariki katika ajali ya barabarani usiku wa kuamkia leo katika eneo la ngata katika Barabara kuu ya Nakuru kuelekea Kisumu. Watu wengine wanane wamepata majeraha na kupelekwa hospitalini kwa matibabu. Maafisa wa polisi…
BY ISAYA BURUGU 10TH JULY 2023-Kinara wa upinzani Raila Odinga hivi leo ameabiri gari la uchukuzi wa umma kutoka nyumbani kwake mtaani Karen hadi kazini jijini Nairobi. Raila ameungana na viongozi wengine katika safari yake hiyo ambapo ameabiri gari la umma kutoka…
Serikali za Kenya na Congo zimefikia makubaliano ya kuondoa hitaji la visa ili kurahisisha usafiri kati ya mataifa hayo mawili. Muafaka huu ulitangazwa na Kiongozi wa Taifa, Rais William Ruto, ambaye yuko ziarani katika taifa la Jamhuri ya Congo, baada ya kikao…
Naibu Rais Rigathi Gachagua amesuta hatua ya kinara wa Azimio Raila Odinga ya kuanzisha zoezi la kukusanya sahihi katika azma ya kumbandua mamlakani Rais William Ruto. Odinga alitangaza hatua hiyo ya kukusanya sahihi milioni 10 hapo jana wakati wa maandamano ya Saba…
Mrengo wa upinzani nchini unapanga kuanza mchakato wa kukusanya saini milioni 10 ifikapo mwisho wa juma lijalo, lengo likiwa ni kuwezesha kuanzishwa kwa mchakato wa kumbandua mamlakani kiongozi wa Taifa, Rais William Ruto. Hatua hii imechukuliwa baada ya kinara wa muungano wa…
Idara ya DCI imeomba muda wa siku 14 zaidi ili kuandaa kesi dhidi ya washukiwa wawili wa kampuni ya Brown Cheese, wanaodaiwa kuwadhulumu wafanyakazi wa kike katika kampuni hizo, kwa kuwalazimisha kuvua nguo ili kuchunguzwa iwapo wako katika kipindi cha Hedhi. Wawili…
Wakaazi wa mji wa Narok wamejiunga na viongozi wa Azimio la umoja kufanya mandamano ili kuishinikiza serikali ya Kenya Kwanza kupunguza gharama ya maisha. Wakizungumza na waandishi wa habari, wakaazi hao wameshutumu serikali ya kwa kuongeza bei ya bidhaa muhimu kama vile mafuta…
Naibu Rais Rigathi Gachagua ameahidi kwamba makubaliano yatakayofikiwa na washikadau katika sekta ya ukulima wa majani chai nchini yataidhinishwa kama sheria kupitia bunge la kitaifa na lile la seneti. Hatua hii inalenga kuboresha na kuimarisha sekta hii muhimu na kuhakikisha wakulima wanapata…