Wizara ya Elimu yapania kuanzisha matumizi ya bayometriki shuleni.

Wizara ya Elimu inapania kuanzisha matumizi ya bayometriki shuleni. Kulingana na mwenyekiti wa Chama cha Wakuu wa Shule za Sekondari KESSHA Kahi Indimuli, njia hiyo mpya ya kuwatambua wanafunzi itafuatilia mienendo yao. Akizungumza wakati wa Kongamano la 46 la Chama cha Wakuu…

Rais Ruto azindua mpango wa Gavamkononi kurahizisha utoaji huduma za serikali kupitia mtandao

BY ISAYA BURUGU 30TH JUNE,2023-Rais Wiliam Ruto  ameongoza uzinduzi wa  mpango wa gavamkononi ambao utatoa Zaidi ya huduma alfu 5 za serikali kupitia mtandao wa E-Citizen. Hatua hiyo inatarajiwa kurahizisha utoaji huduma kwa wananchi na kuwapunguzia safari za kusaka huduma muhimu. Aidha…

Rais Ruto Atia Saini kuwa sheria miswada ya Ugawaji wa Mapato kwenye kaunti na ule wa hazina ya Usawazishaji

BY ISAYA BURUGU,30TH JUNE,2023-Rais William Ruto ametia Saini kuwa sheria mswada wa ugavi wa mapato kwenye kaunti wa mwaka 2023  na ule wa hazina ya usawazishaji vile vile wa mwaka 2023. Miswada hiyo miwili sasa itawezesha kaunti zote 47 kupokea fedha katika…

Nafasi

PSC Yaalika Maombi ya Nafasi ya Mkurugenzi wa Mashtaka Ya Umma DPP.

Tume ya huduma za umma nchini PSC imewaalika wakenya kutuma maombi ya nafasi ya Mkurugenzi wa mashtaka ya Umma nchini DPP. Katika taarifa iliyochapishwa kutoka kwa PSC hii leo, yeyote aliye na nia ya kutwaa wadhifa huo lazima awe amehitimu na shahada…

Afya

Maafisa wa Huduma za Afya Watangaza Mgomo Kuanzia Tarehe 14 Mwezi Kesho.

Muungano wa Maafisa wa kimatibabu nchini KUCO umetishia kukatiza huduma zao kuanzia tarehe kumi na nne mwezi ujao wa Julai, ili kulalamikia utepetevu serikali katika kushughulikia maslahi ya wahudumu wa Afya. Wakiongozwa na mwenyekiti wao Bw. Peterson Wachira, viongozi wa muungano huo…

Familia zilizowapoteza wapendwa wao kwenye mashambulio kule Lamu zapokea msaada.

Hatimaye Familia tano zilizowapoteza wapendwa wao kwenye mashambulio ya kigaidi yaliyotekelezwa katika vijiji vya Salama na Juhudi mnamo Jumamosi usiku zimepokea msaada wa fedha za mazishi kwa wapendwa wao. Kila familia imepokezwa Sh.100,000 na Gavana wa Lamu Issa Timamy kwa minajili ya…

Wahudumu wa sekta ya Uchukuzi iibisil Kajiado wandamana kulalamikia ongezeko la ajali

BY ISAYA BURUGU 29TH JUNE,2023-Wahudumu kwenye sekta ya uchukuzi mjini Ilbisili kaunti ya Kajiado wanalalamikia kuongezeka kwa ajali zinazosababishwa na malori ya masafa marefu ,huku hatua dhidi ya wahusika ikikosa kuchukuliwa. Wahudumu hao walilizuia lori lililosababisha ajali katika Barabara ya  Namanga  wakilalamikia…

Mwili wa aliyekuwa mfanyikazi wa hazina kuu yakitaifa Tom Osinde aliyetoweka wapatikana mtoni kaunti ya migori

BY ISAYA BURUGU,28TH JUNE,2023-Baada ya takribani siku kumi na moja ya kutoweka kwa aliyekuwa  mfanyikazi wa hazina yakitaifa Tom Osinde ,afisa huyo amepatikana katika mto Kuja kaunti ya Migori akiwa amefariki.Mwili wake umepatikana mwendo wa saa tano  usiku wa leo na kupelekwa…