Moses Kuria

Hatuna nia ya kuingilia utendakazi wa wanahabari Naibu Rais amkosoa Moses Kuria.

Naibu wa Rais Rigathi Gachagua amekosoa kauli ya waziri wa viwanda na uwekezaji Moses Kuria, kuhusu uamuzi wa kutochapisha matangazo ya serikali katika gazeti la Daily Nation. Gachagua aliyezungumza katika kaunti ya Mombasa katika kongamano la kimataifa kuhusu maji na usafi wa…

Kenya yatia saini makubaliano ya biashara bila ushuru na mungano wa ulaya EU

BY ISAYA BURUGU,19TH JUNE,2023-Kenya na Umoja wa Ulaya zimesaini mkataba wa kibiashara ambao ukishaidhinishwa, utaipa Kenya ufikiaji wa soko la EU bila kutozwa ushuru. Mkataba huo unatarajiwa kuimarisha maendeleo ya kiuchumi ya Kenya, huku Rais William Ruto akisema “utachochea utengenezaji wa bidhaa…

Wakaazi wa Narok magharibi wandamana kupinga ujenzi wa barabara kwenye ardhi ya kijamii

 BY ISAYA BURUGU 19TH JUNE,2023-Wakaazi wa kijiji cha Motony wadi ya Mara Narok Magharibi wameshiriki maandamano kupinga ujenzi wa bara bara ya upana wa mita 50 itakayopita katika shamba la jamii.Wakiongozwa na Christopher Samoei wakaazi hao waliojaa hamaki walibeba matawi wakidai bara…

Naibu wa rais Rigathi Gachagua ashiriki mbio za heart to heart zilizofanyika Nairobi.

Naibu wa rais Rigathi Gachagua hii leo alishiriki mbio za heart to heart zilizofanyika Nairobi. Akizungumza baada ya kuzindua mbio hizo, Gachagua aliipongeza Hospitali ya Karen kwa kuandaa mbio hizo ambazo zinalenga kutoa msaada kwa familia zinazokabiliwa na changamoto za kifedha katika…

Wazazi Narok Magharibi watakiwa kuipa kipau mbele elimu ya watoto wao

BY ISAYA BURUGU ,17TH JUNE,2023-Naibu kamishana wa Narok magharibi Derusis Muyesus ametoa wito kwa wenyeji wa eneo hilo kuhakikisha watoto wao wamepata elimu. Akizungumza eneo la Lemek Narok magharibi katika hafla ya  madhimisho ya mtoto wa kifrika yaliyoandaliwa jana,kamishana huyo amesema elimu…

TAANZIA:Mwakilishi wadi wa Chewani kaunti ya Tana river Hamisi Iddi Deye afariki katika ajali

BY ISAYA BURUGU 17TH JUNE,2023-Chama UDA kimetuma risala za rambirambi kwa jamii ndugu na marafiki   wa mwakilishi wadi wa Chewani  Hamisi Iddi Deye aliyefariki dunia leo asubuhi kufuatia ajali ya barabarani. Kupitia taaifa chama hicho kimesema mwakilishi wadi huyo wa bunge la…

Wanafunzi Machogu

Walimu wakuu waagizwa kuhakikisha wanafunzi wanasoma kwa saa 6 pekee.

Waziri wa Elimu Ezekiel Machogu, amewataka walimu wakuu kote nchini kuhakikisha kwamba shughuli za masomo zinaandaliwa kati ya saa mbili asubuhi na saa kumi kasorobo alasiri kila Jumatatu hadi Ijumaa. Akizungumza alipokutana na wakuu wa muungano wa walimu wakuu wa shule za…

Waziri wa usalama wa ndani awaagiza maafisa wa utoaji vitambulisho kufanya kazi hiyo bila ubaguzi.

Waziri wa usalama wa ndani prof. Kithure Kindiki amewaagiza maafisa wa utoaji wa vitambulizho kufanya kazi hiyo bila ubaguzi. Akizungumza katika kaunti ya Lamu, Kindiki ameagiza vitambulisho hivyo kutolewa katika muda wa siku 21 ili kuwapa wakaazi wa kaunti hiyo uhuru wa…