Serikali yakusudia kufungua upya afisi za uhamiaji za Kanda ya Mashariki huko Garissa.

Waziri wa usalama Kithure Kindiki hii leo amezuru kaunti ya Garissa ambapo amefanya mkutano na wakuu wa usalama pamoja na maafisa wa kupambana magaidi baada ya kufunguliwa tena kwa mpaka wa Kenya na Somalia. Akizungumza kwenye mkutano huo, Kindiki ameeleza kuwa serikali…

Rais Ruto apongeza ukomavu wa wakenya, akiahidi mema zaidi kwa wanabodaboda.

Rais William Ruto amepongeza ukomavu wa wakenya katika kuangazia maswala muhimu ya taifa, na kwa kujiepusha na ukabila pamoja na misingi ya kijamii katika kujadili maswala haya. Akihutubia taifa katika maadhimisho ya Madaraka huko Embu, Rais ameeleza kuridhishwa na gumzo kuhusiana na…

Washukiwa wa uhalifu katika shamba la Northlands kufikishwa mahakamani.

Waziri wa usalama wa ndani Kithure Kindiki ametuma onyo kali kwa viongozi mbalimbali wa kisiasa wanao eneza semi za chuki na vitendo vya kihuni kwa nia ya kuboronga amani humu nchini. Katika taarifa yake kwa wakenya adhuhuri ya leo, waziri huyo amesema…

Maafisa wote wa polisi wa kituo cha Isebania wahamishwa na waziri Kindi.

Waziri wa usalama wa ndani Kithure Kindiki ameagiza kuhamishwa kwa maafisa wa polisi, maafisa wa KRA, wale wa KEBS pamoja na maafisa wa uhamiaji katika eneo la Isebania kaunti ya Migori. Hatua hiyo imejiri baada ya watu watano kuuwawa kwa kupigwa risasi…

Wazazi wa wanafunzi wa shule ya Mukumu walioaga kupokea fidia ya shilingi 400,000.

Wazazi wa wanafunzi waliofariki baada ya kula chakula kilichokuwa na sumu katika Shule ya Upili ya Wasichana ya Mukumu watapokea Ksh.400, 000 kila mmoja kama fidia kutoka kwa serikali. Haya ni kulingana na Waziri wa Elimu Ezekiel Machogu ambaye aliambia Seneti kwamba…

Haji

Ujasusi ulitoa taarifa kuhusu shakahola mkwa muda unaofaa – Noordin Haji

Idara ya ujasusi nchini Ilitoa taarifa kuhusu matukio katika msitu wa shakahola kwa muda unaofaa. Haya ni kwa mujibu wa mkurugenzi mkuu mteule wa huduma ya ujasusi nchini Noordin Haji, ambaye aliitetea NIS dhidi ya tuhuma kuwa ilizembea katika utoaji wa taarifa…

Mark Mwenje

Mbunge Mark Mwenje ateuliwa kama naibu mnadhimu wa wachache bungeni.

Muungano wa Azimio la Umoja umemteua Mark Mwenje ambaye ni mbunge wa Embakasi Magharibi kama naibu wa mnadhimu katika bunge la kitaifa, kutwaa wadhifa uliokuwa ukishikiliwa na mbunge mteule Sabina Chege. Mabadiliko haya yametangazwa na kinara wa wachache katika bunge la taifa…

Ukosefu wa usafiri Afrika umechangia ongezeko la bei ya bidhaa kwa hadi asilimia 40.

Ukosefu wa miundombinu muhimu hasa katika sekta ya usafiri miongoni mwa mataifa ya Afrika, ni mojawapo ya changamoto zinazochangia katika ongezeko la bei za bidhaa kati ya mataifa haya kwa hadi asilimia 40. Haya ni kwa mujibu wa Rais William Ruto, ambaye…