Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma Noordin Haji anatarajiwa kupigwa msasa wiki ijayo.

Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma Noordin Haji, ambaye anatazamiwa kuwa Mkurugenzi Mkuu mpya wa Huduma ya Kitaifa ya Ujasusi (NIS) atapigwa msasa na Bunge Jumanne wiki ijayo. Wakenya wana hadi Jumatatu wiki ijayo kuwasilisha maoni yao kuhus kuteuliwa kwa Haji kama bosi…

Raila Jubilee

Sina haja na Handsheki, Raila awaambia Kenya Kwanza.

Odinga amesisitiza kwa mara nyingine kwamba hana haja na mapatano yoyote na serikali, akiitaja kuwa iliyojaa udhaifu.

Aliyekuwa Rais Uhuru Kenyatta awashutumu baadhi ya viongozi kwa kuwatusi wengine.

Aliyekuwa Rais Uhuru Kenyatta amewashutumu baadhi ya viongozi kwa kuwatusi wengine wakati wa ibada za Kanisa. Akizungumza Jumatatu wakati wa Kongamano la Kitaifa la Wajumbe wa Jubilee jijini Nairobi, Uhuru alisema alama ya njiwa ya Jubilee inawakilisha amani. Katika shambulio linaloonekana dhidi…

Mchungaji Ezekiel Odero apata afueni baada ya kufunguliwa kwa akaunti zake zote za benki.

Mchungaji Ezekiel Odero sasa ataweza kufikia akaunti zake zote za benki ambazo zilikuwa zimefungiwa kwa siku 15. Hii ni baada ya kukamilika kwa siku 15 zilizotolewa na mahakama. Afisa mpelelezi Inspekta Martin Munene akiwa anahojiwa na Wakili Danstan Omari, aliambia mahakama kwamba…

Shuguli ya kuwasaka manusura Shakahola kuendelezwa hadi katika mbuga ya Tsavo Mashariki.

Maafisa wa polisi wanaowasaka manusura katika msitu wa Shakahola kaunti ya Kilifi sasa wataendeleza shughuli ya uokoaji hadi katika mbuga ya wanyama ya Tsavo Mashariki. Waziri wa usalama wa Ndani na Utawala wa Kitaifa, Kithure Kindiki alisema Serikali itajumuisha msako wa ndege…

Rais mstaafu Uhuru Kenyatta atangaza ukumbi kutakapoandaliwa kongamano la wajumbe

BY ISAYA BURUGU 20TH  MAY 2023-Aliyekuwa rais  Uhuru Kenyatta ametangaza ukumbi mpya kutakapoandaliwa mkutano wawajumbe wakuu wa chama cha Jubilee  jumatatu ijayo.Kupitia notisi  aliyoitoa leo ,uhuru amesema  ukumbi mpya kwa wajumbe wa chama utakuwa ni uwanja wa Ngong Race course jijini Nairobi.…

Kenya yaungana na ulimwengu kuadhimisha siku ya ufugaji nyuki

BY ISAYA BURUGU 20TH MAY 2023-Kenya inaungana na ulimwengu leo kuadhimisha siku ya ufugaji wa nyuki wito ukitolewa kwa wakulima kupunguza matumizi ya dawa iliyo na kemikali katika mimea hali ambayo inaadhari nyuki na wadudu wengine. Ni kutokana na mtumizi hayo ya…

Bunduki Samburu

Operesheni Maliza Uhalifu yafanikiwa kupata Bunduki 96, Samburu.

Asasi za usalama zinazo ongoza operesheni katika maeneo ya kaskazini mwa bonde la Ufa, zimefanikiwa kutwaa bunduki 96 kutoka kwa wahalifu wanaoiba mifugo katika kaunti ya Samburu. Bunduki hizo zikiwemo zile za aina ya M16 zimetwaliwa katika kipindi cha wiki tatu. Aidha…