Mahakama Kuu jijini Nairobi imeamuru kwamba akaunti za kibinafsi za benki zilizosajiliwa kwa majina ya Msajili Mkuu wa Idara ya Mahakama, Anne Atieno Amadi, pamoja na mwanawe Brian Ochieng Amadi na wengine wawili zizuiliwe. Hii ni baada ya Bi Amadi kushtakiwa pamoja…
BY ISAYA BURUGU 19TH MAY 2023-Ni afueni kwa mchungaji Ezekiel Odero baada ya mahakama kupunguza muda ambao akaunti zake za benki zitafungwa kufanikisha uchunguzi wa polisi kutoka siku 30 hadi siku 14. Hakimu BenMark Ekhubi amesema amri hizo za awali zitatamatika siku…
BY ISAYA BURUGU 19TH MAY 2023-Rais William Ruto amemteua aliyekuwa Waziri wa Michezo Rashid Echesa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya kitaifa ya Chemichemi za maji .Kwa mujibu wa notisi ya gazeti la serikali ya Mei 19, 2023, Echesa itahudumu kwa muda wa…
Naibu wa rais Rigathi Gachagua ameeleza kwamba Serikali ya Kenya kwanza haitaruhusu kwa vyovyote vila kuwapa viongozi wa upinzani nafasi katika serikali. Akizungumza kwenye kongamano lililowaleta pamoja wajumbe wa chama cha UDA jijini Nairobi, Gachagua amesema kuwa uongozi uliopita ulitekeleza wajibu wake…
Waziri wa usalama wa ndani Kithure Kindiki ameeleza kuwa oparesheni ya maliza uhalifu inayoendeshwa katika kaunti sita zilizoko eneo la kaskazini mwa bonde la ufa inendelea vyema. Akizungumza wakati wa hafla ya kufuzu kwa maafisa wa akiba katika eneo la Kimalel kaunti…
Rais William Ruto hii leo amekuwa mwenyeji wa waziri mkuu wa Singapore Lee Loong ambapo wamekubaliana kuimarisha ushirikiano baina ya mataifa hayo mawili. Kwenye kikao cha pamoja na waandishi wa habari, wawili hao wamesema kuwa wataweka mikakati itakayohakikisha kuwa wawekezaji wa Singapore…
BY ISAYA BURUGU 18TH MAY 2023-Chama cha Jubilee kinasisitiza kuwa Kongamano la Wajumbe wa Kitaifa lililopangwa bado litaendelea.Katika taarifa yake, kaimu mkurugenzi mtendaji wa chama hicho Polycarp Hinga alisema NDC itaendelea kama ilivyopangwa Mei 22. Hinga, hata hivyo, hakuzungumzia suala la ukumbi…
BY ISAYA BURUGU 18TH MAY 2023-Wafanyikazi wa Chuo Kikuu cha Maasai Mara chini ya mwavuli wao (KUSU) wamemuomba Waziri wa elimu Ezekiel Machogu kuchukua hatua za kisheria kufuatia madai ya uvujaji wa fedha na ukandamizaji wawafanyikazi wa chou hicho unaodaiwa kuendeshwa na…