Ruto UN

Rais Ruto ataka bara la Afrika kupewa nafasi mbili katika baraza la umoja wa mataifa (UN).

Kiongozi wa taifa Rais William Ruto amependekeza bara la Afrika kutengewa nafasi mbili za kudumu katika baraza la umoja wa mataifa UN, ili kuwezesha bara hili kupiga hatua mbele katika maswala ya maendeleo na pia kuendeleza ajenda yake ya kukabiliana na mabadiliko…

Wanafunzi waliofanya mtihani wa KCSE waanza kujisali kupata nafasi katika vyuo vikuuu.

Wanafunzi waliofanya mtihani wa kitaifa KCSE mwaka jana sasa wanaweza kujisali kupata nafasi katika vyuo vikuuu humu nchini. Akizungumza alipokuwa akizindua shuguli ya uteuzi wa wanafunzi kupitia njia ya mtandao KUCCPS, waziri wa Elimu Ezekiel Machogu alisema wanafunzi 173,127 waliopata alama ya…

Wazazi na wanafunzi wa shule ya msingi ya Ilmashariani mjini Narok wandamana kupinga kuhamishwa kwa mwalimu wao mkuu

BY ISAYA BURUGU 17TH MAY 2023-Wanafunzi pamoja na  wazazi wa shule ya msingi ya Ilmashariani viungani mwa mji wa Narok wamefanya mandamano leo kupinga hatua ya kuhamishwa kwa mwalimu mkuu wa shule hiyo Jane Sankok. wakizungumza na wandishi wa habari wazazi pamoja…

Serikali ya Canada yakanusha taarifa kuwa kuna fursa nyingi za ajira kwa wakenya nchini humo

BY ISAYA BURUGU 17TH MAY 2023-Serikali ya Canada imepuzilia mbali uumbe wa mtandao wa Twitter kutoka kwa Waziri wa maswala ya kigeni wa Kenya  Alfred Mutua kuwa kuna fursa chungu nzima za ajira kwa wakenya katika taifa hilo la magharibi mwa Marekani.…

HAJI--OSOTUA-

Rais Ruto ampendekeza Noordin Haji kuwa Mkurugenzi Mkuu mpya wa Ujasusi (NIS)

Rais William Ruto ametangaza kumteua Noordin Haji, Mkurugenzi wa sasa wa Mashtaka ya Umma (DPP), kuwa Mkurugenzi Mkuu mpya wa Huduma ya Kitaifa ya Ujasusi (NIS). Taarifa rasmi iliyotiwa saini na Felix Koskei, Mkuu wa Utumishi wa Umma, ilieleza kuwa Haji atarejea…

Wanaharakati wa haki za watoto waelezea wasiwasi wao kuhusu kutelekezwa kwa mtoto wa kiume.

Huku ulimwengu ukiadhimisha siku ya mtoto wa kiume ,wanaharakati wa kutetea haki za watoto katika kaunti hii ya Narok wameelezea wasiwasi wao kuwa maslahi ya mtotowa kiume katika jamii yanazidi kupuuzwa kwa kiwango kikubwa. Wamedai kwamba hali hiyo imepelekea wengi wa watoto…

Kongamano la kitaifa la kilimo cha maembe laanza rasmi mjini Wote kaunti ya Makueni

BY ISAYA BURUGU,16TH MAY 2023-Kongamano la kitaiafa kujadili kilimo cha maembe limeanza rasmi hivi leo mjini Wote kaunti ya Makueni.Ni kongamano la siku tatu na limewavutia washikadau kutoka kaunti 15 ambapo maembe hukuzwa kwa wingi. Mathumuni ya kongamano hilo ni kuzungumzia kilimo…

Mpaka wa Kenya na Somalia kufunguliwa tena kwa awamu tofauti ndani ya siku 90 zijazo.

Mpaka wa Kenya na Somalia utafunguliwa tena kwa awamu tofauti ndani ya siku 90 zijazo, kuanzia leo. Waziri wa Mambo ya Ndani Kithure Kindiki amesema mpaka wa Mandera-Bulahawa utafunguliwa katika muda wa siku 30 zijazo. The Mandera-Bulahawa border point, Mandera County will…