Pigo kwa mhubiri Ezekiel Odero huku mahakama ikipuzilia mbali ombi lake kutaka akaunti zake na Kituo cha runinga kufunguliwa

BY ISAYA BURUGU 15TH MAY 2023-Mhubiri Ezekiel Odero wa new life Church katika kaunti ya Kilifi amepata pigo jipya baada ya mahakama kuu jijini Mombasa kukataa ombi  kutoka kwa mhubiri  huyo  lililoitaka kuagiza akaunti zake za benki na kituo cha televisheni kufunguliwa.…

Polisi wawatia mbaroni washukiwa watatu wa wizi wa mtoto Nairobi

BY ISAYA BURUGU,15TH MAY 2023-Wanaume wawili na mwanamke mmoja wamekamatwa kama washukiwa wa kesi ya kutoweka kwa mtoto mdogo.Polisi wamesema  washukiwa watatu wako kizuizini kufuatia kutoweka kwa msichana wa miaka 14 mnamo Mei 9, katika kituo cha reli cha Nairobi. Polisi walisema…

Mwananchi kugharamika zaidi kumudu gharama ya mafuta huku EPRA ikiongeza bei

BY ISAYA BURUGU,15 2023-Mamlaka ya Kudhibiti Nishati na Petroli nchini (EPRA) imetangaza kuongeza bei ya  mafuta nchini.Katika mabadiliko hayo, bidhaa hio mihimu imeongezeka kwa shilingi 3.40 kwa lita ya petroli, shillingi 6.40 kwa mafuta ya dizeli na shillingi 15.19 kwa lita moja…

Mukami Kimathi

Semi za kisiasa zatawala hafla ya mazishi ya Shujaa wa Uhuru Mukami Kimathi.

Semi za kisiasa zilitawala hafla ya mazishi ya Shujaa wa Mau mau Bi. Mukami Kimathi hii leo, wanasiasa waliohudhuria wakitumia muda walipata mbele ya kipaza sauti kuvuta ngoma upande wao. Kati ya vigogo waliopata nafasi ya kuzungumza ni Pamoja na Kinara wa…

Mpiganiaji uhuru Marehemu Mukami Kimathi azikwa nyumbani kwake huko Njabini.

Mpiganiaji uhuru Marehemu Mukami Kimathi amezikwa nyumbani kwake huko Njabini, Kaunti ya Nyandarua. Familia na marafiki pamoja na viongozi wa ngazi ya juu serikalini walikongamana ili kutoa heshima za mwisho kwa mama Mukami. Jamaa zake wamemmiminia sifa tele na kumataja kama mama…

Ruto na Raila wakutana ana kwa ana Nyandarua

BY ISAYA BURUGU 13TH MAY 2023-Rais Wiliamu Ruto na kinara wa Azimio la umoja one Kenya Raila Odinga wamekutana ana kwa ana leo   tangu uchaguzi mkuu wa mwaka 2022.Viongozi hao wawili wamekutana katika hafla ya mazishi ya Marehemu Mukami Kimathi, mke wa…

Shakahola 179

Maiti 29 zaidi yafukuliwa Shakahola idadi ya waliofariki ikifikia 179.

Idadi ya watu walioaga dunia katika eneo la shakahola, imefikia 179, baada ya miili 29 zaidi kufukuliwa hii leo. Idadi hii ndiyo ya juu zaidi kufukuliwa katika eneo hilo tangu zoezi la ufukuzi lilipoanza kwenye msitu huo mwezi jana. Mratibu wa ukanda…

Eneo la magharibi mwa kenya laongoza katika visa vya unywaji wa pombe nchini.

Eneo la magharibi mwa kenya linaongoza katika visa vya unywaji wa pombe haramu nchini ikifuatwa na maeneo ya pwani na kati. Haya ni kwa mujibu wa ripoti iliyozinduliwa leo na mamlaka ya kitaifa ya kampeni dhidi ya unywaji wa pombe haramu na…