Familia na jamii katika kaunti hii ya Narok ziko tayari kunufaika kutokana na mpango wa kukabili mabadiliko ya tabianchi. Mpango huo unalenga kuimarisha uwezo wa jamii kukabiliana na athari mbaya za mabadiliko ya hali ya hewa, hasa ukame wa muda mrefu ambao…
BY ISAYA BURUGU,12TH MAY 2023-Huku Kenya ikiungana na ulimwengu hivi leo kuadhimisha siku ya wauguzi duniani hivi leo,wauguzi katika kaunti ya Nyamira wamelalamikia mazingira duni ya utenda kazi. Wakizungumza katika hospitali ndogo ya Masaba kaskazini mjini Keroka,wauguzi hao wamelalamikia kucheleweshwa kwa mishahara…
BY ISAYA BURUGU,12TH MAY 2023-Katika juhudi za kukwamua maendeleo katika kaunti ndogo ya Narok kusini,hazina kuu yakitaifa inapania kutoa Zaidi ya shilingi milioni 200 kwa minajili ya kufanikisha azimio hilo. Naibu kamishna wa Narok Kusini Felix Kisalu amedokeza kuwa maeneo ya Narosura,Loita,…
Rais William Ruto amevunja kimya chake, kuhusiana na mapendekezo ya kutozwa kwa asilimia 3 ya mshahara wa wafanyakazi ili kusaidia katika ujenzi wa nyumba za bei nafuu nchini. Akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa ujenzi wa nyumba hizi za bei nafuu katika…
Naibu wa rais Rigathi Gachagua na waziri wa usalama wa ndani Kithure Kindiki hii leo wamezuru kaunti ya mandera ambapo kongamano la kujadili mikakati ya kiusalama katika mpaka wa Kenya, Somalia pamoja na Ethiopia limeandaliwa. Kongamano hilo vilevile limehudhuriwa na mawaziri wa…
BY ISAYA BURUGU ,11TH MAY 2023-Kaunti ya Makueni imetamatisha maandalizi ya konganao la kwanza kabisa la kitaiafa kuhusu maembe.Gavana wa kauni hiyo Mutula Kilonzo Junior anasema kuwa wameshirikiana na idara zingine za kilimo kama vile shirika la kilimo nchini kufanikisha kongamano hilo…
BY ISAYA BURUGU 11TH MAY 2023-Kaimu naibu kamishana wa Narok ya kati Aldi Shakur Ali amesema serikali itachuguza wanaotumia mitandao ya kijamii visivyo na kuwachukulia hatua.Aameyasea hayo alipozungumza na wandishi wa habari katika afisi ya vijana mjini Narok katika mkutano uliyowaleta pamoja…
Mazungumzo ya maridhiano kati ya mrengo wa Azimio la Umoja na Kenya kwanza yatatekelezwa kwa kipindi cha siku sitini kuanzia Alhamisi tarehe 11 mwezi Mei. Hii ni baada ya pande zote zinazohusika katika mazungumzo haya kukubaliana kuhusu mambo ya msingi yatakayo jadiliwa…