Mhubiri mwenye utata Paul Mackenzie na washtakiwa wenzake watazuiliwa kwa siku 30 zaidi huku maafisa wa upelelezi wakichunguza mauaji ya Shakahola, ambapo zaidi ya watu 133 hadi sasa wamethibitishwa kufariki. Uamuzi huo umetolewa na Hakimu Yusuf Shikanda ambaye alisema kuwaachilia huru kwa…
BY ISAYA BURUGU,10TH MAY,2023-Zoezi la kutazama mwili wa hayati aliyekuwa mkewe mpiganiaji uhuru Dedan Kimathi Mukami Kimathi litafanyika jumaosi hii kabla ya mazishi yake. Mukami aliaga dunia wiki jana akiwa na umri wa miaka 101.Katibu wa wizara ya usalama wa ndani Raymond…
Kiongozi wa taifa Rais William Ruto amefanya mazungumzo na rais wa Israel Isaac Herzog nchini Isarel ambapo wawili hao wameafikiana kushirikiana hasa katika ukuzaji wa chakula. Rais Ruto vilevile ameelezea hamu yake ya kushirikiana na taifa hilo kwenye sekta za afya, uchumi…
Rais William Ruto amefanya mazungumzo na rais wa Israel Isaac Herzog nchini Isarel ambapo wawili hao wameafikiana kushirikiana hasa katika ukuzaji wa chakula. Rais Ruto vilevile ameelezea hamu yake ya kushirikiana na taifa hilo kwenye sekta za afya, uchumi wa baharini pamoja…
BY ISAYA BURUGU 9 MAY 2023-Mawakili wa mhubiri Ezekiel Odero wanaitaka serikali kufungua akaunti 15 za mhubiri huyo zilizofungwa.Mawakili wake Danstan Omari na Cliff Ombeta wamesema hatua ya kufungwa kwa akaunti hizo kumesababisha dhiki na mahangaiko kwa Zaidi ya wanafuzni 100 kutoka…
Kinara wa upinzani Raila Odinga amepinga mapendekezo yaliyo katika mswada unaopendekezwa wa ukusanyaji ushuru nchini. Odinga amesema kwamba mswada huo unafaa kuangaziwa upya kutokana na mambo mengi anayoeleza kuwa hayajawekwa wazi kwa wakenya. Akizungumza jijini Nairobi siku ya Jumatatu, Odinga ameeleza kwamba…
Serikali ya kitaifa kupitia kwa wizara ya usalama wa ndani inapania kuboresha huduma za magereza na kuhakikisha kwamba vituo hivi vya urekebishaji vinasaidia kutekeleza wajibu wake kwa njia inayofaa. Waziri wa usalama wa ndani Kithure Kindiki alitangaza haya alipozuru gereza la Mwea,…
Kiongozi wa Muungano wa Azimio la Umoja,Raila Odinga, amepinga vikali mapendekezo ya Mswada wa Fedha wa 2023 uliowasilishwa Bungeni. Akizungumza na waandishi wa habari Bw. Odinga amedokeza kuwa atafanya kila awezalo kuzuia Mswada huo kupitishwa katika Bunge la Kitaifa. Kiongozi huyo wa…