BY ISAYA BURUGU 8TH MAY 2023-Waziri wa usalama wa ndani na ushirikishi wa serikali kuu Prof Kindiki Kithure hivi leo ametembelea gereza la Mwea katika kaunti ya Kirinyaga kukagua mageuzi yanayoendelea kutekelezwa kwenye gereza hilo yakiwemo matumizi yam ashine na vifaa vya…
Waumini wa kikatoliki katika jimbo Katoliki la Nakuru wamekuwa na siku ya furaha na shangwe, baada ya kutawazwa na kusimikwa kwa Askofu Cleophas Oseso kama askofu mpya wa jimbo hilo. Hafla ya kutawazwa kwa Askofu Oseso iliandaliwa katika uga wa shule ya…
Naibu Rais Rigathi Gachagua ameukashifu Muungano wa Azimio La Umoja One Kenya kwa kutaka kurejeshwa kazini waliokuwa makamishmna wanne wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) walioondoka afisini baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2022. Alisema matakwa ya kuwarejesha Juliana Cherera, Justus…
Zoezi la kufukua miili katika msitu wa shakahola imerejelewa hii leo baada ya kukamilika kwa uchunguzi wa miili 110 iliyofukuliwa awali. Maafisa wa upelelezi wa mauaji wanaendesha zoezi hilo ambalo lilisitishwa kutokana na mvua kubwa kunyesha huku uchunguzi dhidi ya mhubiri wa…
BY ISAYA BURUGU 6TH MAY 2023-Rais Wiliam Ruto ni miongoni mwa wageni maarufu watakaohudhuria sherehe za kutawazwa kwa Mfalme Charles III wa Uingereza zinazofanyika hii leo. Mke wa rais Joe Biden wa Marekani, Jill pia ni miongoni mwa wageni hao. Shughuli za…
BY ISAYA BURUGU 6TH MAY 2023-Kufuatia visa vya uhalifu na hasa watu kuvamiwa katika eneo la Ololunga eneo bunge la Narok Kusini kaunti ya Narok katika siku za hivi karibuni,mbunge wa eneo hilo Keitalai Ole Ntutu amewataka wasimamizi wa usalama eneo hilo…
Wizara ya mazingira na misitu nchini, kupitia idara ya ulinzi na uhifadhi wa misitu inapania kuzindua nambari za simu za bila malipo zitakazosaidia katika vita dhidi ya ukataji wa miti na uharibifu wa misitu katika maeneo tofauti ya taifa. Akitangaza mipango hii…
Rais William Ruto ameratibiwa kuondoka nchini jioni ya leo kwa ziara rasmi barani ulaya. Kwa mujibu wa taarifa iiyochapishwa na Msemaji wa Ikulu Hussein Mohammed, rais ataanzia ziara yake nchini Uingereza, ambapo atajumuika na viongozi wengine kutoka sehemu mbalimbali duniani kuhudhuria hafla…