Uhusiano mzuri kati ya Kenya na Ujerumani umeendelea kuimarika kufuatia Ziara ya Kiserikali ya Kansela Olaf Scholz siku ya Alhamisi. Katika mkutano wa pande mbili na mkutano na wanahabari katika Ikulu ya Nairobi, Rais William Ruto alitoa wito wa kupunguzwa kwa vikwazo…
Rais William Ruto ameunda Tume ya Uchunguzi inayojumuisha wanachama 13 kuanza uchunguzi kuhusu dhehebu la mhubiri Paul Mckenzie ambapo zaidi ya watu 100 wameripotiwa kufariki kufikia sasa. Rais Ruto, katika notisi ya gazeti la serikali iliyotolewa Ijumaa, alitaja wanachama 8 wa tume…
BY ISAYA BURUGU 05,MAY 2023-Takriban watu sita wanahofiwa kufariki baada ya basi walimokuwa wakisafiria kuhusika katika ajali ya barabarani karibu na Kanyadhiang, eneo bunge la Karachuonyo. Ajali hiyo imetokea wakati basi la Shule ya Sekondari ya ACK Guu lilikuwa likiwasafirisha waombolezaji kuelekea…
BY ISAYA BURUGU,05,2023-Mhubiri tata Paul Mackenzie na watu wengine saba wameregeshwa mahakamani huko Shanzu hivi leo huku kesi ya mauaji inayowakumba ikiendelea.Upande wa mashtaka unaitaka mahakama kuagiza Mackenzie na watuhumiwa wengine kuzuiliwa kwa siku 90 zaidi ili kuwaruhusu polisi kukamilisha uchunguzi. Vilevile…
BY ISAYA BURUGU 05,MAY 2023-Mjane wa shujaa wa kupigania uhuru wa taifa la Kenya, Field Marshal Dedan Kimathi, Mukami Kimathi amefariki. Mama Mukami ambaye pia ni shujaa wa ukombozi wa Kenya kutoka minyororo ya ukoloni amefariki akiwa na umri wa miaka 96.…
Spika wa bunge la Kitaifa Moses Wetangula, amemruhusu mbunge mteule Sabina Chege kuendelea kutekeleza wajibu wake bungeni kama naibu wa mnadhimu wa walio wachache katika bunge hilo. Katika uamuzi wake, Spika Wetangula alieleza kwamba Muungano wa Azimio haukufuata kanuni zinazofaa kwa kuwasilisha…
Baraza la Muungano wa Azimio la Umoja limetoa muda wa siku 30 kwa mazungumzo ya pande mbili kukamilika baada ya kuanza. Mkuu wa Azimio Raila Odinga na kinara wa Wiper Kalonzo Musyoka walisema mazungumzo yao na mrengo wa Kenya Kwanza yatahusu masuala…
Watu wawili walioshtakiwa kwa mauaji ya mwanafunzi wa mwaka wa kwanza wa Chuo Kikuu cha Maasai Mara watasalia rumande kwa siku 21 huku polisi wakifanya uchunguzi kuhusu tukio hilo. Washtakiwa wawili Brian Kimutai Bepco, mwanafunzi wa mwaka wa nne wa Chuo Kikuu…