BY ISAYA BURUGU 4TH MAY 2023-Rais Wiliam Ruto hivi leo amekuwa mgeni wa katibu mkuu wa umoja wa mataiafa Antonio Guteres katika ikulu ya Nairobi.Guteres akizungumza kwenye kikao hicho amesema kuwa ni jambo la kutamausha kuona kuwa adhari za kikoloni zingali bayana…
BY ISAYA BURUU 4TH MAY 2023-Askofu wa jimbo katoliki la Ngong John Oballa Owaa hivi leo ameongoza misa maalum kwa ajili ya kuwaweka wakfu watu wanne kuwa mashemazi.Wanne hao ni Jasper Nyabayo kutoka parokia ya Ichumi kisii,Ambrose misiku kutoka jimbo la kakamega,Joachim…
Waziri wa elimu nchini Ezekiel Machogu amewaonya wakuu wa shule zote nchini dhidi ya kuruhusu kuendelea kwa biashara zozote za kibinafsi katika mazingira ya shule. Akizungumza alipojiwasilisha bungeni ili kujibu maswali ya wabunge, Waziri Machogu ameeleza kwamba ni haramu kwa wafanyabiashara kujihusisha…
Waziri wa Usalama wa Ndani Kithure Kindiki ametoa wito kwa Baraza la Vyombo vya Habari nchini na wadhibiti wengine kuwaondoa watu wasio na ujuzi katika taaluma ya uandishi wa habari. Kulingana na Kindiki, matapeli wamefanya kuwa vigumu kwa mashirika ya usalama kutoa…
BY ISAYA BURUGU 03,MAY 2023-Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amewasili humu nchini kufuatilia hali ya kibinadamu na kuisalama nchini Sudan kufuatia wiki za makabiliano.Bw Guterres amepokelewa na Waziri wa mambo ya nje wa Alfred Mutua katika uwanja wa ndege,…
BY ISAYA BURUGU 03,MAY 2023-Wadau mbali mbali katika sekta ya uandishi Habari wanakutana hivi leo katika hoteli ya Safaripark jijini Nairobi kuadhimisha siku ya uhuru wa wanahabari ulimwenguni. Siku hii huadhimishwa tarehe tatu mwezi Mei Kila mwaka. Madhimisho ya mwaka huu yanayongozwa…
Gavana wa Kaunti ya Bungoma Kenneth Lusaka amechaguliwa na baraza la magavana kuongoza kamati ya magavana kumi watakaosaida kufanikisha mazungumzo kati ya upande wa serikali na viongozi wa upinzani ili kutuliza joto la kisiasa linaloendelea nchini. Viongozi waliopendekezwa na magavana nchini wanajumuisha:…
Wakenya 409 wamesafirishwa kutoka nchini Sudan kufikia sasa huku serikali ikiendelea na mipango ya kuwarejesha nyumbani wakenya waliosalia nchini humo. Kwa mujibu wa waziri wa mambo ya kigeni Alfred Mutua ni kwamba Kenya inachangia pakubwa katika juhudi za kurejesha amani nchini humo…