Mbunge maalum Sabina Chege ateuliwa kama kaimu kiongozi wa chama cha Jubilee.

Mizozo ya ndani katika chama cha Jubilee imeendelea kukithiri baada ya mrengo unaoongozwa na mbunge wa EALA Kanini Kega kumteua mbunge maalum Sabina Chege kama kaimu kiongozi wa chama. Mbunge huyo mteule anachukua nafasi ya aliyekuwa Rais Uhuru Kenyatta ambaye alitimuliwa wakati…

Mhubiri Ezekiel kufahamu hatma yake saa nane iwapo atachiliwa kwa dhamana au la

BY ISAYA BURUGU 2ND MAY 20234-Wafuasi wa kanisa la Mhubiri  Ezekiel Odero la  New Life Prayer Centre and Church,kwa sasa wanafanya maombi nje ya mahakama ya Shanzu katika kaunti ya Mombasa.Hii ni kufuatia hali ambapo mhubiri huyo anatarajiwa kufikishwa mahakamani leo  kufahamu…

Paul Mackenzie akamatwa tena pindi baada ya kuachiliwa huru na mahakama

BY ISAYA BURUGU 2ND MAY 2023-Mchungaji Paul Mackenzie amekamatwa tena mara tu baada ya mahakama kuruhusu aachiliwe.Maafisa wa DCI walimshambulia mhubiri huyo na washirika wake sita ambao walikuwa wameachiliwa na mahakama ya Malindi. Walichukuliwa kwa gari mbili aina ya land cruiser na…

Odinga asisistiza kuwa maandamano ya upinzani yataendelea Jumanne ya Kesho

Kinara wa muungano wa Azimio la Umoja Raila Odinga amesisitiza kuwa maandamano yataendelea hio kesho Jumanne 02.Mei 2023 kama yalivyoratibiwa. Katika ktaarifa yake alasiri ya leo, Odinga amemjibu rais akisema kwamba haki ya maandamano imekubalika kilkatiba na kwamba kila mkenya ana uhuru…

Shughuli za ukarabati kwenye barabara ya Narok- Mai Mahiu kuendelea hadi Kesho Jumanne .

Shughuli za usafiri zingali kurejea katika hali ya kawaida kwenye barabara kuu ya Narok Kuelekea Mai Mahiu, baada ya barabara yenyewe kufungwa hio jana kutokana na ufa ulioshuhudiwa kilomita sita kutoka eneo la Mai Mahiu. Kwa mujibu wa taarifa ya mamlaka ya…

Rais William Ruto hii leo aliongoza taifa katika kuadhimisha siku kuu ya leba.

Rais William Ruto hii leo ameliongoza taifa katika kuadhimisha siku kuu ya leba. Akizungumza wakati wa hafla iliyoandaliwa katika bustani ya Uhuru jijini Nairobi, rais Ruto amesema kuwa ako tayari kufanya kazi na viongozi wote wa miungano ya wafanyakazi kwa manufaa ya…

Uchunguzi wa miili iliyofukuliwa huko Shakahola kaunti ya Kilifi yaanza rasmi hii leo.

Waziri wa usalama wa ndani Kithure Kindiki hivi leo amerejea Shakahola kaunti ya Kilifi kushuhudia shughuli ya uchunguzi wa miili iliyopatikana katika eneo hilo inayohusishwa na dhehebu la mhubiri Bandia Paul Mackenzie. Hadi kufikia sasa miili 110 imefukuliwa kutoka shamba hilo. Kindiki…

Taanzia:Mwanafunzi wa chuo kikuu cha Maasai Mara auwa na mwili wake kutupwa kichakanini

BY ISAYA BURUGU,1ST MAY,2023-Maafisa wa polisi mjini Narok wanaendesha uchunguzi kufuatia kifo cha kutatanisha cha mwanafunzi wa mwaka wa kwanza katika chou kikuu cha Masai mara .Mwanafunzi huyo aliyetambuliwa kama  Adah Nyambura mwenye umri wa miaka 20 anaripotiwa kutoweka  saa tatu na…