Mizozo ya ndani katika chama cha Jubilee imeendelea kukithiri baada ya mrengo unaoongozwa na mbunge wa EALA Kanini Kega kumteua mbunge maalum Sabina Chege kama kaimu kiongozi wa chama. Mbunge huyo mteule anachukua nafasi ya aliyekuwa Rais Uhuru Kenyatta ambaye alitimuliwa wakati…
BY ISAYA BURUGU 2ND MAY 20234-Wafuasi wa kanisa la Mhubiri Ezekiel Odero la New Life Prayer Centre and Church,kwa sasa wanafanya maombi nje ya mahakama ya Shanzu katika kaunti ya Mombasa.Hii ni kufuatia hali ambapo mhubiri huyo anatarajiwa kufikishwa mahakamani leo kufahamu…
BY ISAYA BURUGU 2ND MAY 2023-Mchungaji Paul Mackenzie amekamatwa tena mara tu baada ya mahakama kuruhusu aachiliwe.Maafisa wa DCI walimshambulia mhubiri huyo na washirika wake sita ambao walikuwa wameachiliwa na mahakama ya Malindi. Walichukuliwa kwa gari mbili aina ya land cruiser na…
Kinara wa muungano wa Azimio la Umoja Raila Odinga amesisitiza kuwa maandamano yataendelea hio kesho Jumanne 02.Mei 2023 kama yalivyoratibiwa. Katika ktaarifa yake alasiri ya leo, Odinga amemjibu rais akisema kwamba haki ya maandamano imekubalika kilkatiba na kwamba kila mkenya ana uhuru…
Shughuli za usafiri zingali kurejea katika hali ya kawaida kwenye barabara kuu ya Narok Kuelekea Mai Mahiu, baada ya barabara yenyewe kufungwa hio jana kutokana na ufa ulioshuhudiwa kilomita sita kutoka eneo la Mai Mahiu. Kwa mujibu wa taarifa ya mamlaka ya…
Rais William Ruto hii leo ameliongoza taifa katika kuadhimisha siku kuu ya leba. Akizungumza wakati wa hafla iliyoandaliwa katika bustani ya Uhuru jijini Nairobi, rais Ruto amesema kuwa ako tayari kufanya kazi na viongozi wote wa miungano ya wafanyakazi kwa manufaa ya…
Waziri wa usalama wa ndani Kithure Kindiki hivi leo amerejea Shakahola kaunti ya Kilifi kushuhudia shughuli ya uchunguzi wa miili iliyopatikana katika eneo hilo inayohusishwa na dhehebu la mhubiri Bandia Paul Mackenzie. Hadi kufikia sasa miili 110 imefukuliwa kutoka shamba hilo. Kindiki…
BY ISAYA BURUGU,1ST MAY,2023-Maafisa wa polisi mjini Narok wanaendesha uchunguzi kufuatia kifo cha kutatanisha cha mwanafunzi wa mwaka wa kwanza katika chou kikuu cha Masai mara .Mwanafunzi huyo aliyetambuliwa kama Adah Nyambura mwenye umri wa miaka 20 anaripotiwa kutoweka saa tatu na…