BY ISAYA BURUGU 1ST MAY,2023-Afisa mmoja wa polisi anauguza majeraha ya risasi katika hospitali ya rufaa ya Marsabit baada ya gari la polisi walimokuwa wameabiri kuvamiwa na majambazi katika eneo la kambinye eneo bunge la Laisamis kaunti ya Marsabit . Wakati wa…
BY ISAYA BURUGU,29TH APRIL,2023-Polisi hivi leo wamewaokoa watu 17 kutoka kwa kanisa linaloshukiwa kuwa la mafunzo ya kupotosha huko Nakuru.Polisi wanasema , mzazi kutoka Kaunti ya Uasin Gishu aliripoti kuwa bintiye alikuwa amefungiwa katika nyumba moja katika kijiji cha Kamwene ‘B’, wadi…
BY ISAYA BURUGU,29TH APRIL,2023-Rais William Ruto ameapa kutumia kila nguvu alizo nazo kuhakikisha kuwa mandamano yaliyopangwa na mungano wa Azimio la Umoja one Kenya jumanne wiki ijayo hayageuka na kuwa ghasia.Matamshi hayo ya Ruto yanafuatia hatua ya Azimio kuazimia kurejelea mandamano yakitaiafa …
Chama cha Jubilee kinatarajiwa kuandaa Kongamano Maalum la Wajumbe wake mwezi Mei tarehe 22 mwaka huu. Katika notisi iliyotiwa saini na kiongozi wa chama na aliyekuwa Rais Uhuru Kenyatta, chama hicho kilieleza ajenda kuu ya mkutano huo ni kutunga na kuidhinisha sera…
Askofu wa jimbo katoliki la Ngong John Oballa Owaa amewarai vijana katika jimbo hili kujifunza zaidi kuhusu imani ya kikristu ili kuepuka na kukabiliana na mafunzo ya kupotosha kutoka kwa watu wanaojiita wahubiri na walimu wa dini. Katika homilia yake kwenye misa…
BY ISAYA BURUGU,29TH APRIL,2023-Wakaazi wa Kijiji cha Kibunja,kaunti ndogo ya Molo kaunti ya Nakuru wameachwa na mshangao baada ya mwanamke mmoja kupatikana akishikilia mwili wa mumewe kwa Zaidi ya waki moja baada yake kuaga dunia. Inashukiwa kuwa mwanamme huyo alifariki dunia Zaidi…
BY ISAYA BURUGU,29TH APRIL,2023-Luteni generali Francis Omondi Ogolla na luteni generali Jonah Maina Mwangi wameapishwa rasmi hivi leo kama mkuu wa majeshi na naibu wake mtawalia katika hafla iliyoandaliwa katika ikulu ya Nairobi.Ogolla anachukua mahala pa generali Robert Kariuki Kibochi ambaye muda…
Mamlaka ya mawasiliano nchini imefuta leseni za vituo viwili vya Runinga vinavyohusiana na wahubiri Paul Makenzi na Ezekiel Odero, kwa kigezo cha kukiuka mwongozo wa leseni za utangazaji. Katika notisi iliyochapishwa na mwenyekiti wa mamlaka hiyo Ezra Chiloba siku ya Ijumaa, leseni…