Afisa wa polisi ajeruhiwa baada ya majambazi kuvamia gari la polisi Marsabit

BY ISAYA BURUGU  1ST MAY,2023-Afisa mmoja wa polisi anauguza majeraha ya risasi katika hospitali ya rufaa ya Marsabit baada ya gari la polisi walimokuwa wameabiri kuvamiwa na majambazi katika eneo la kambinye eneo bunge la Laisamis kaunti ya Marsabit . Wakati wa…

Polisi wawaokoa watu 17 kutoka kanisa linaloshukiwa kuwa la itikadi kali Nakuru

BY ISAYA BURUGU,29TH APRIL,2023-Polisi hivi leo wamewaokoa watu 17 kutoka kwa kanisa linaloshukiwa kuwa la mafunzo ya kupotosha huko Nakuru.Polisi wanasema , mzazi kutoka Kaunti ya Uasin Gishu aliripoti kuwa bintiye alikuwa amefungiwa katika nyumba moja katika kijiji cha Kamwene ‘B’, wadi…

Rais Wiliam Ruto aapa kutumia uwezo wake kikatiba kukabili mandamano ya Azimio wiki ijayo

BY ISAYA BURUGU,29TH APRIL,2023-Rais  William Ruto ameapa kutumia kila nguvu  alizo nazo kuhakikisha kuwa  mandamano yaliyopangwa na mungano wa Azimio la Umoja one Kenya jumanne wiki ijayo  hayageuka na kuwa ghasia.Matamshi hayo ya Ruto yanafuatia  hatua ya Azimio kuazimia kurejelea mandamano yakitaiafa …

Chama cha Jubilee kinatarajiwa kuandaa Kongamano Maalum la Wajumbe wake mwezi Mei.

Chama cha Jubilee kinatarajiwa kuandaa Kongamano Maalum la Wajumbe wake mwezi Mei tarehe 22 mwaka huu. Katika notisi iliyotiwa saini na kiongozi wa chama na aliyekuwa Rais Uhuru Kenyatta, chama hicho kilieleza ajenda kuu ya mkutano huo ni  kutunga na kuidhinisha sera…

Vijana wahimizwa kujifunza zaidi kuhusu imani ya kikristu ili kuepuka mafunzo ya kupotosha.

Askofu wa jimbo katoliki la Ngong John Oballa Owaa amewarai vijana katika jimbo hili kujifunza zaidi kuhusu imani ya kikristu ili kuepuka na kukabiliana na mafunzo ya kupotosha kutoka kwa watu wanaojiita wahubiri na walimu wa dini. Katika homilia yake kwenye misa…

Mwanamke agunduliwa na mwili wa mumewe nyumbani Zaidi ya wiki moja baada ya kifo chake huko Molo.

BY ISAYA BURUGU,29TH APRIL,2023-Wakaazi wa Kijiji cha Kibunja,kaunti ndogo ya  Molo kaunti ya Nakuru wameachwa na mshangao baada ya mwanamke mmoja kupatikana akishikilia mwili wa mumewe kwa Zaidi ya waki moja baada yake kuaga dunia. Inashukiwa kuwa mwanamme huyo alifariki dunia Zaidi…

Luteni generali Francis Ogolla aapishwa rasmi kuwa mkuu wa majeshi nchini

BY ISAYA BURUGU,29TH APRIL,2023-Luteni generali  Francis Omondi Ogolla  na luteni generali  Jonah Maina Mwangi wameapishwa rasmi hivi leo  kama mkuu wa majeshi  na naibu wake mtawalia katika hafla iliyoandaliwa katika ikulu ya Nairobi.Ogolla anachukua mahala pa generali  Robert Kariuki Kibochi ambaye muda…

Mamlaka ya mawasiliano yafuta leseni za utangazaji za World Evangelism na Times TV.

Mamlaka ya mawasiliano nchini imefuta leseni za vituo viwili vya Runinga vinavyohusiana na wahubiri Paul Makenzi na Ezekiel Odero, kwa kigezo cha kukiuka mwongozo wa leseni za utangazaji. Katika notisi iliyochapishwa na mwenyekiti wa mamlaka hiyo Ezra Chiloba siku ya Ijumaa, leseni…