shughuli ya kufukua miili katika eneo la Shakahola Kaunti ya Kilifi limesitishwa hii leo kutokana na mvua kubwa katika eneo hilo, serikali sasa ikielekeza mcho yake katika shughuli za uokozi.Waziri wa usalama wa ndani Kithure Kindiki amesema kwamba serikali itafanikiwa katika vita…
Rais William Ruto sasa amemteua Luteni Jenerali Francis Omondi Ogolla kuwa Mkuu mpya wa Majeshi, akichukua nafasi ya Jenerali Robert Kariuki Kibochi ambaye muda wake wa kuhudumu umefikia kikomo. Jenerali Ogolla alikuwa, akihudumu kama Makamu Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi. Jenerali Kibochi,…
BY ISAYA BURUGU 28TH APRIL,2023-Rais Wiliam Ruto amesema kuwa serikali yake imejitolea kuboresha Maisha ya kila mwananchi. Akizungumza alipozindua ukarabati wa barabara ya kilomita 65 mjini Ongata Rongai,rais amesema barabara bora ndizo zitakazowawezesha wakulima kusafirisha mazao yao hadi sokoni na kupata faida.…
BY ISAYA BURUGU,28TH APRIL,2023-Maafisa wa polisi sasa wataka kuruhusiwa kumzuilia mhubiri Ezekiel Odero kwa siku 30 zaidi ili kukamilisha uchunguzi dhidi yake.Mhubiri huyo awa kanisa la New Life Prayer Centre and Church alikamatwa hiyo jana na polisi wanasema kuna Habari za kuaminika…
Naibu Rais Rigathi Gachagua ametoa wito wa kuimarishwa kwa ushirikiano kati ya washikadau wote wakiongozwa na sekta ya usalama na mahakama humu nchini ili kukomesha tishio la ugemaji, unywaji na vilevile uraibu wa pombe na dawa za kulevya katika eneo la mlima…
Baraza la vyombo vya Habari nchini MCK limewakashifu maafisa wa polisi kwa kuwafungia nje wanahabari waliokuwa wakiripoti mkasa wa Shakahola. Katika taarifa, MCK ilisema hatua hiyo inavinyima vyombo vya habari fursa ya kuripoti kuhusu suala la maslahi ya umma.Siku ya Jumatano, wanahabari…
BY SAIAYA BURUGU 27TH APRIL,2023-Rais William Ruto ametia Saini kuwa sheria mswada wa ugavi wa mapato wa mwaka 2023 uliopitishwa na bunge la seneti wiki jana. Maseneta waliuzingatia na kupitisha msuada huo tarehe 20 mwezi huu bila marekebisho jinsi ulivyopitishwa na bunge…
BY ISAYA BURUGU 27TH APRIL,2023-Shughuli ya ukaguzi wa maiti zipatazo 98 zilizopatikana kule Shakahola kaunti ya Kilifi inatarajiwa kuanza leo katika hospitali ya Malindi.Tayari mkaguzi mkuu wa maiti wa serikali amewasili Malindi kwa zoezi hilo.Ukaguzi huo unaendeshwa ili kubaini kilichopelekea vifo hivyo.…