KINDIKIKI AND MUDAVADI

Kindiki na Mudavadi watetea utendakazi wa serikali katika vikao vya seneti na bunge la kitaifa.

Waziri wa usalama nchini Kithure Kindiki ameeleza kwamba taifa la kenya litafanikiwa katika vita dhidi ya wizi wa mifugo na ujambazi unaotekelezwa katika maeneo ya kaskazini mwa bonde la ufa. Akizungumza katika kikao kwenye bunge la seneti alipojiwaisilisha ili kutoa majibu kwa…

Uhuru Kenyatta

Rais Mstaafu Uhuru kenyatta aitaka serikali kujitenga na shughuli za chama cha Jubilee.

Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta ameitaka serikali kujitenga na kujiepusha na vitendo vinavyohusu chama cha Jubilee, na badala yake kuelekeza nguvu zake katika kuimarisha maisha ya wakenya. Akizungumza baada ya kuzuru ofisi za Chama cha Jubilee ambazo zilikuwa na purukushani siku ya leo,…

Chama cha Jubilee chaagizwa kuondoka katika majengo wanayotumia kama makao makuu.

Chama cha Jubilee kimeagizwa kuondoka katika majengo wanayotumia kwa sasa kama makao makuu ya chama baada ya pande ya Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki Kanini Kega na pande ya aliyekuwa Mbunge wa Ndaragwa Jeremiah Jeremiah Kioni kuzozana kuhusu uongozi wa chama…

Serikali yatangaza amri ya kutotoka nje kule Chakama ambako Msitu wa Shakahola unapatikana.

Serikali imetangaza amri ya kutotoka nje kwa siku 30 kuanzia saa kumi na mbili jioni hadi saa kumi na mbili alfajiri katika eneo la Chakama katika Kaunti ya Kilifi ambako Msitu wa Shakahola unapatikana huku uchunguzi ukiendelea. Waziri wa usalama wa ndani…

KINDIKI KITHURE - Radio Osotua

Waziri Kindiki asema mikakati ya kuboresha usalama eneo pana la kaskazini mwa bonde la Kerio imeanza kuzaa matunda

BY ISAYA BURUGU 26TH APRIL,2023-Waziri wa usalama Kithure Kindiki hivi leo amefika mbele ya bunge la seneti kuangazia baadhi ya changamoto za kiusalama zinazokumba taiafa hili. Hatua hiyo ya Waziri inajiri huku oparesheni ya kuwaokoa manusura wa janga la dhehebu za Good…

TAANZIA:Aliyekuwa mbunge wa Yatta Gedion Mutiso Munyao aaga dunia

BY ISAYA BURUGU,26TH APRIL,2023-Aliyekuwa mbunge wa Yatta katika kaunti ya Machakos Gedion Munyao Mutiso, ameaga dunia.Mutiso alifariki katika hospitali moja jijini Nairobi alipokuwa akipokea matibabu kutokana na ugonjwa wa saratani.Kwa mjibu wa familia yake, marehemu ameaga dunia akiwa na umri wa miaka…

Shakahola

Waziri Kindiki apendekeza shtaka la mauaji ya halaiki dhidi ya Paul Makenzi.

Waziri wa usalama wa ndani Kithure Kindiki amependekeza kushtakiwa kwa Kasisi Bandia Paul Makenzi na makosa ya Mauaji ya halaiki, kufuatia vifo vilivyoshuhudiwa katika eneo la Shakahola katika kaunti ya Kilifi. Akizungumza na waandishi wa habari mapema leo bada ya kuzuru eneo…

Narok County

Baraza la mawaziri Narok laidhinisha mapendekezo ya bajeti.

Baraza la mawaziri katika kaunti ya Narok limeidhinisha bajeti ya miradi ya maendeleo katika kaunti hii, kuelekea katika mwaka ujao wa kifedha, kabla ya mapendekezo hayo kuwasilishwa katika bunge la kaunti ili kuidhinishwa. Katika kikao cha leo kilichoongozwa na gavana Patrick Ntutu,…