Kenya yaanza shughuli ya kuwaondoa wananchi wake kutoka Sudan.

Kenya imeanza shughuli ya kuwaondoa wananchi wake kutoka nchi ya Sudan kunakoendelea vita vya kisiasa. Kenya imekuwa mojawapo ya nchi ambazo zimewaondoa wananchi wake kutoka nchi hiyo kutokana na makabiliano makali baina ya jeshi la Sudan na kikundi cha Paramilitary Rapid Support…

Mwanamke anayetuhumiwa kumuua mwanawe na kula mwili wake kule Kitengela kuzuiliwa kwa siku kumi

BY ISAYA BURUGU 25TH APRIL,2023-Mahakama kuu ya  Kajiado imeagiza mwanamke anayekumbwa na makosa ya kumua mwanawe wa miaka miwili  kwa kukata kata mwili wake vipande vipande na kisha kula matumbo yake azuiliwe kwa siku kumi . Olivia Naserian anatuhumiwa kumua bintiye Gloria…

Miili kumi zaidi yaopolewa huko Shakahola wizari kindiki akifika eneo hilo

BY ISAYA BURUGU 25TH APRIL,2023-Waziri wa usalama wa ndani Kithure Kindiki amefika kule Shokahola ambapo opareseni ya uopoaji wa miili inaendelea.Pia mikakati inaendelea sambamba kuwaokoa wale ambao bado wako hai.Tayari miili 73 imefukuliwa katika kipindi cha wiki moja iliyopita. Hiyo jana msaidizi…

Mwanamke amuua mwanawe na kula mwili wake Kitengela

BY ISAYA BURUGU 25TH APRIL,2023-Mwanamke wa miaka 27  katika mtaa wa  Milimani  kule kitengela  kaunti ya Kajiado amemdunga kisu na kumua mtoto wake wa umri  wa miaka miwili  na baadaye kula mwili wa mtoto huyo .Majirani wamesema  kuwa  Olivia Naserian alijifungia   ndani…

Idara ya magereza yaombwa kujihusisha zaidi katika ujenzi wa taifa.

Kiongozi wa taifa Rais William Ruto amewatoa wito kwa idara za magereza nchini kushirikiana na serikali katika kutekeleza miradi ya maendeleo kwa taifa. Rais aliyezungumza katika halfa ya 26 ya kufuzu kwa maafisa wa magarereza katika Chuo cha Mafunzo cha maafisa wa…

Rais Ruto avunja kimya kuhusu vifo vya halaiki katika kijiji cha Shakahola, Kilifi.

Rais William Ruto amevunja kimya chake kuhusiana na matukio katika msitu wa Shakahola kaunti ya Kilifu, ambapo miili Zaidi inaendelea kufukuliwa, ikihusishwa na wafuasi walioaga dunia baada ya kujinyima chakula na maji. Rais amelaani imani inayosambaza na Mshukiwa wa aliyetambuliwa kama Kasisi…

Isiolo Diocese

Jimbo la Isiolo lazinduliwa rasmi, Askofu Anthony Ireri akisimikwa ili kuliongoza.

Waumini wa kanisa katoliki katika kaunti ya Isiolo na maeneo jirani wana kila sababu ya kutabasamu sasa, baada ya kupandishwa hadhi kwa Vikarieti ya Isioli hadi kuwa jimbo katoliki la Isiolo, katika hafla iliyoandaliwa kutwa ya leo. Jimbo katoliki la Isiolo litaongozwa…

Naibu Rais amwakilisha Rais William Ruto katika kongamano la Forbes 30 under 30.

Naibu Rais Rigathi Gachagua hii leo amemwakilisha Rais William Ruto katika toleo la pili la kongamano la Forbes 30 under 30 barani Afrika mjini Gaborone. Gachagua na mkewe Bi. Dorcas Gachgaua waliondoka nchini leo asubuhi. Forbes 30 Under 30 inatambua wafanyabiashara bora…