This morning I held a meeting with the Narok County Commissioner at his offices. We are aware of the ongoing drought crisis in the country brought about by tough and changing climate conditions. Unfortunately, as a county, this challenge is with us. pic.twitter.com/u7aeMtfvZz
— Governor Patrick Ole Ntutu (@OleNtutuK) October 11, 2022
Akiwahutubia waandishi wa habari nje ya Ofisi yake kamishena Isaac Masinde amesema zaidi ya shule 130 katika kaunti ya Narok zinahitaji msaada wa chakula kutokana na makali ya njaa. Masinde amesema kuwa serikali kwa ushirikiano na mashirika yasiyo ya kiserikali wanafanya juhudi za pamoja ili kuhakikisha kuwa wamesamabaza chakula cha msaada kwa maeneo yaliyoathirika.
We are seized with the situation and at the moment we are laying down strategies to mitigate. As such, today’s meeting was to set the stage for critical intervention measures that we are deploying. pic.twitter.com/UOQpvTCSTF
— Governor Patrick Ole Ntutu (@OleNtutuK) October 11, 2022
Gavana Ntutukwa upande wake amesema kuwa sehemu zilizokabwa zaidi na njaa ni maeneo ya Mosiro Narok mashariki, Narosura, maji moto, eneo la Loita, Naikara, kapsasian eneo la Ilkeren Trasmara magharibi pamoja na eneobunge la Emurua Dikirr. Ntutu amesema serikali ya kaunti ya Narok itashirikiana na ile ya kitaifa kuhakikisha kuwa misaada mbali mbali imewafikia wakazi wa maeneo haya.
Taarifa zaidi
Naibu Rais Kithure Kindiki Atoa Wito kwa Viongozi wa Kidini Kuikosoa Serikali kwa Upendo
Naibu Rais Kithure Kindiki amewahimiza viongozi wa kidini nchini kuikosoa serikali kwa njia ya upendo na heshima, akisema…
- 16 Apr 2025
- Post By John Waicua
Kenya Iko Njiani Kudhoofika Kiuchumi Mbunge Ndindi Nyoro Aonya.
Mbunge wa Kiharu, Ndindi Nyoro, ameonya kuwa Kenya iko kwenye hatari ya kushindwa kulipa madeni yake na kudhoofika…
- 16 Apr 2025
- Post By John Waicua
Kamati ya Bunge Yaidhinisha Uteuzi wa Geoffrey Ruku na Hanna Cheptumo kuwa Mawaziri
Kamati ya uteuzi katika Bunge la Taifa imeidhinisha uteuzi wa mawaziri wateule Geoffrey Ruku na Hanna Cheptumo baada…
- 16 Apr 2025
- Post By John Waicua