This morning I held a meeting with the Narok County Commissioner at his offices. We are aware of the ongoing drought crisis in the country brought about by tough and changing climate conditions. Unfortunately, as a county, this challenge is with us. pic.twitter.com/u7aeMtfvZz
— Governor Patrick Ole Ntutu (@OleNtutuK) October 11, 2022
Akiwahutubia waandishi wa habari nje ya Ofisi yake kamishena Isaac Masinde amesema zaidi ya shule 130 katika kaunti ya Narok zinahitaji msaada wa chakula kutokana na makali ya njaa. Masinde amesema kuwa serikali kwa ushirikiano na mashirika yasiyo ya kiserikali wanafanya juhudi za pamoja ili kuhakikisha kuwa wamesamabaza chakula cha msaada kwa maeneo yaliyoathirika.
We are seized with the situation and at the moment we are laying down strategies to mitigate. As such, today’s meeting was to set the stage for critical intervention measures that we are deploying. pic.twitter.com/UOQpvTCSTF
— Governor Patrick Ole Ntutu (@OleNtutuK) October 11, 2022
Gavana Ntutukwa upande wake amesema kuwa sehemu zilizokabwa zaidi na njaa ni maeneo ya Mosiro Narok mashariki, Narosura, maji moto, eneo la Loita, Naikara, kapsasian eneo la Ilkeren Trasmara magharibi pamoja na eneobunge la Emurua Dikirr. Ntutu amesema serikali ya kaunti ya Narok itashirikiana na ile ya kitaifa kuhakikisha kuwa misaada mbali mbali imewafikia wakazi wa maeneo haya.
Taarifa zaidi
Marekani Yasitisha Ufadhili wa Umoja wa Mataifa kwa Operesheni Haiti.
Serikali ya Marekani imetangaza kusitisha ufadhili wake kwa operesheni ya Umoja wa Mataifa inayolenga kurejesha utulivu nchini Haiti.…
- 5 Feb 2025
- Post By John Waicua
SUSWA | Mafisa wa Polisi Wapewa Makataa ya Siku Tano Kuhama Eneo Hilo.
Mafisa wa polisi katika eneo la Suswa, Narok Mashariki, wamepewa hadi siku tano kuhama baada ya makabiliano makali…
- 30 Jan 2025
- Post By John Waicua
Wanachama wa kamati ya kuwateua makamishna wa IEBC waapishwa.
Wanachama wa kamati iliyoteuliwa na rais William Ruto asubuhi ya leo kuwapiga msasa na kuwateua makamishna wa IEBC…
- 27 Jan 2025
- Post By Brigit Agwenge